Wewe mjinga umenielewa lakini.Wewe ni punguani, jitahidi kutumia akili sio ulete ushabiki wa kipumbuvu hapa,
So ulitaka wananchi wanunue vifaa vya uokozi ?
Serikali na majeshi inawajibika Kwa hili kwa kwa kushindwa kutekeleza wajibu wake, vifaa duni na mbinu za kizamani
Alafu wanatuambia et uchinguzi unafanyika kila baada ya ajali
lnasaidia Nini wafiwa
Achana na huyu jamaa akili zake naona Zina shida ya kufungwa kwenye ushabikiMimi kama mwananchi wa kawaida nawezaje kulifanya Jeshi la Wananchi kamandi ya wanamaji liwe na vifaa vya kisasa ? Embu jibu nijibu
Nyie jikiteni na promo za kina luhaga mpina na kalemani na kuwasema kina January, Nape na Mwigulu hizi mada nyingine ni kubwa sana kwa akili zenu za kutafuta panzi hizoWewe mjinga umenielewa lakini.
Au unahara tu bila kuelewa.
Hatujafika huko ingawa tukio la leo limelitia aibu sana Taifa letuFailed state
Kama umeshindwa kumwelewa mtoa mada na hoja zake,Wewe mjinga umenielewa lakini.
Au unahara tu bila kuelewa.
watunga sera wenyewe wale wale wachama moja kusifiana kwingi.Ni suala la vipaumbele vya kitaifa
Sasa huu ushuzi ulioandika hapa nao unaita akili kubwa??Nyie jikiteni na promo za kina luhaga mpina na kalemani na kuwasema kina January, Nape na Mwigulu hizi mada nyingine ni kubwa sana kwa akili zenu za kutafuta panzi hizo
Hayo siyo maboresho. Maboresho ni kununua vifaa Virginia vya kisasa na bora kama melivita, boti za kujeshi na nyambizi na kuwawezesha kiujuzi na mafunzoMama ameiboresha Kamandi yetu ya Wapiga maji wa Balimi kwa kuindolea kodi hayo mengine mtajua hamjui.
Kama Huna akili utajuaje sasa kama ni akili kubwa?Sasa huu ushuzi ulioandika hapa nao unaita akili kubwa??
Hivi wakiitwa wenye akili na wewe utatoka kweli na hiyo GPA yako ya 3.2 toka Ruaha university??Kama Huna akili utajuaje sasa kama ni akili kubwa?
Si mara ya kwanza nadhani mnakumbuka yaliyotokea kule Nungwi , ile meli iliyozama pale ukerewe mwaka juzi ,huo ni mfano tu wa failures na incidences ambazo zinaonyesha jinsi uzembe ulivyomkubwaHatujafika huko ingawa tukio la leo limelitia aibu sana Taifa letu
At least huyu alitumia elimu yake kujaribu kuleta kituEngineer na mtaalamu wa majanga na uokozi James Mbatia azungumzia utayari na uwezo wa kukabiliana na majanga
Utashi wa kisiasa kujitayarisha kukabiliana na majanga haupo ingawa awamu ya Jakaya Kikwete (disaster and management act 2015 )iliandaa mazingira ya kisheria na kifedha lakini awamu ya tano ya JPM iliitelekeza kwa kisingizio kuwa siyo kipaumbele ..
Vyombo vya habari vipo vipo havi...
This act sets out a comprehensive legal framework for disaster risk management. It provides for the establishment of Tanzania Disaster Management Agency (TDMA), which is the national focal point for coordination of disaster risk reduction and management in the country.
View attachment 2408816
PW - Homepage › ta...
Tanzania: The Disaster Management Act, 2015
Jamii forum is the home of great thinkers. Mtendaji mkuu wa shughuli za serikali za kila siku kaja na tume ya uchunguzi.Kipindi cha Majanga ndicho kipindi sahihi zaidi cha kupima uwezo wa jeshi husika katika ubora na vifaa
Zimetokea ajali nyingi za maji hapa Tanzania kuanzia Mv Bukoba, Vivuko Kigamboni, Zanzibar , Mwanza na sasa imetokea ajali ya ndege ziwani Bukoba
Napenda tu kusema tuna jeshi la maji lisilo la uwezo wa vifaa na teknolojia ya kisasa kabisa. Bila juhudi za wananchi kwenye mazingira haya ni ukweli usiopingika kuwa hata kwenye ndege ya Precision leo wananchi wengi wangekufa
Ingawa mambo ya Ulinzi na Usalama ni masuala nyeti sana ila napendekeza sasa kuwe na complete reforms kwenye jeshi letu la wananchi kamandi ya wanamaji
Mambo yafuatayo yafanywe
1. Tuingie makubaliano na moja ya Taifa kubwa kati ya haya( Marekani, China, Uingereza au Ujerumani) na tuwape mkataba wa kuliwezesha Jeshi letu kivifaa na kiteknolojia bila kusahau ujuzi. Tununue meli za kutosha na both za kutosha za kisasa bila kusahau manowali na nyambizi ziwekwe kufanya kazi kwenye maziwa yote kuanzia Nyasa, Tanganyika, Victoria na Bahari ya Hindi
2. Tanzania kutengeneza karakana yetu ya kutengeneza meli za kivita na za kijeshi kama ilivyo kwa Kenya
Tusipofanya haya sasa yajayo yanasikitisha sana