Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Mayala, sijui nitumie neno gani, maana nisijekutafsiriwa vibaya, ilihali heshima yangu kwako haijawahi kukosekana.

Kwa ufupi kabisa, niseme tu kuwa, utumie akili na maarifa yako vizuri. Kujifanya mjinga wakati una akili ni kudhihaki kazi ya muumba wetu aliyetujalia ufahamu.

Hakukuwa na deni la trilioni 360, hivyo hakukuwepo na msamaha. Hakuna tulichosamehe, bali tuliomba tupewe chochote, tukakubaliwa kupewa $300m ndani ya kipindi cha miaka 7, na hizo pesa zitakuwa zinatoka kwenye mauzo ya makinikia. Installment ya kwanza itakuwa baada ya kuruhusu makinikia yaliyozuliwa, yasafirishwe. Tukatii amri. Halafu tukasaini makubaliano kuwa, kwa vyovyote iwavyo, siku za mbeleni, hata kukiwa na mgogoro, kamwe hatutazuia usafirishaji wa dhahabu wala makinikia, tutaenda kwenye meza ya mazungumzo. Suluhisho lazima liwe limepatikana ndani ya siku 30. Ikishindikana, mahakama ya biashara ya Singapore itaingilia kati na kutoa maamuzi, na maamuzi yake hayatakatiwa rufaa mahali popote na upande wowote.

Hatukuwa na madai, hatukutoa msamaha kwa sababu hakukuwa na chochote tunachokidai, tulipewa pesa ya msaada, kama tunavyosaidiwa na mataifa wahisani.
 
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Soma matamshi ya waziri wa Sasa wa fedha kumbeza TAL kwenye hilo gazeti la wakati ule ufahamu kwa nini wamuombe radhi
Pia kuna suala la jaribio la kumuua ambapo kuna hisia kuwa linahusiana na msimamo wake was hiyo professiol rubbish
 
Kila mwenye akili timamu alijua kuwa madai yale ulikuwa uwongo mkubwa. Ni sawa uambiwe kuwa mwenye duka la mtaji wa 2m anadaiwa kodi ya sh 2 bilioni. Lazima uwe punguani kiasi kuweza kuliamini hilo.

Total gold resource ya migodi yote ya Barrick kwa Tanzania ni 0.75MOz Tulawaka + 4MOz Buzwagi + 7MOZ North Mara + 12MOZ Bulyanhulu = 23.75MOz. Mineable resource haiwezi kuzidi 60% = 14.25MOz. Dhahabu iliyokwishachimbwa, japo sina uhakika, haiwezi kuzidi 50%.= 7.1MOz. Thamani ya hii dhahabu iloyochimbwa, kwa bei ya juu kabisa, ya U$2,000 kwa oz = $14 billion (14 billion ×2,300 = TZS 32 trillion)

Hata ungesema hiyo hela yote iwe kodi, halafu wasiwe wametoa kodi hata shilingi moja, bado haifikii hata 10% ya trilioni 360 ambayo waliotuona wajinga walikuwa wakituaminisha.

Hata kama walitaka kuwadanganya wananchi, wangeweka huo uwongo wao uwe unakaribia na ukweli. Lakini wahusika kwa vile walijua wanaongoza nchi ya wasio na kitu vichwani, walijua wapo wenye vichwa vitupu kabisa, ambao ni wengi, watashangilia na kuwaona ni mashujaa. Uwongo ule ni miongoni mwa mambo yaliyotufanya waafrika tuendelee kuonekana kuwa siyo binadamu timilifu.

Kwa namna ambavyo baadhi ya watu wakati ule walivyokuwa wameshibishwa ujinga, hata wangeambiwa kuna mpango wa Serikali wa kumnunulia kila mwananchi ndege aina ya Boeing 737-800, wangeshangilia na kusema tumepata mkombozi. Ujinga ni laana kubwa, hasa ujinga ule unaoelekea kwenye upumbavu.

Cha ajabu uongo ule wa wazi ulikuwa unashabikiwa hata na the so called wasomi!
 
Soma matamshi ya waziri wa Sasa wa fedha kumbeza TAL kwenye hilo gazeti la wakati ule ufahamu kwa nini wamuombe radhi
Pia kuna suala la jaribio la kumuua ambapo kuna hisia kuwa linahusiana na msimamo wake was hiyo professiol rubbish
Kwaiyo tumeshitakiwa MIGA kama madai ya Lissu alivyokuwa akituogepesha kuwa watatunyoa kwa vipande vya chupa pasipo kutumia maji?kweli ujinga hautaisha nchi hii.
 
Tundu Lisu huyu huyu wa Ufipa st?

Serikali ilimsomesha bure huyo TAL ujue!
Kwani kusomeshwa bure ndio kigezo cha kutoikosoa serikali?

Maana ya kwenda shule ni kufuta ujinga sasa kama umekwenda shule halafu bado unaona mafyongo ndio ukae kimya kisa ulisomeshwa bure?

Wasomi wangapi wamesomeshwa bure na wameishia kuchemka tu hebu acha lame excuses mnazofundishwa Lumumba huko kuwa fikra za mwenyekiti lazima zidumu.
 
Kwani kusomeshwa bure ndio kigezo cha kutoikosoa serikali?

Maana ya kwenda shule ni kufuta ujinga sasa kama umekwenda shule halafu bado unaona mafyongo ndio ukae kimya kisa ulisomeshwa bure?

Wasomi wangapi wamesomeshwa bure na wameishia kuchemka tu hebu acha lame excuses mnazofundishwa Lumumba huko kuwa fikra za mwenyekiti lazima zidumu.
Sasa aombwe msamaha wa nini?
 
Naona kama kawaida Chadema wamevamia hii issue, hawajui purpose ya kuibuka kwake! Hawajachunguza facts za hili jambo, tayari wamebeba mwenge! Haya mambo yamejaa sarakasi ambazo ukikurupuka utatumika kama daraja huku ukibakia pale pale [emoji17]

Tutakumbushana ...
 
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P

Nimecheka, baadhi ya wasomi mliokabidhi akili zenu wakati ule wa zama za giza! Unakosoa kistaarabu uongo?! Kwa taarifa yako huyo Lisu aliyekosoa kwa lugha kali utapeli ule, alieleweka kuliko nyie mlikuwa mnajidai kukosoa kistaarabu. Viongozi wetu wa kiafrika huwa hawajirekebishi wakikosolewa kistaarabu.
 
Kuna muda nakuona huna akili timamu.
Je una uhakika alisomeshwa bure?
Hivi unajua hata ile mikopo sio bure bali ni deni ambalo mnufaika analipa akimaliza masomo.
Kuwa na akili kidogo basi, punguza ujinga.
Yes tulisoma naye Ilboru ilikuwa ni bure hadi nauli iliyokuleta unawasilisha risiti kwa School Basa unarudishiwa fedha zako. Siku ya kufunga shule unapewa warrant una safiri bure.

Chuo Kikuu, pia kasomeshwa bure LL.B , UDSM
P
 
Aliyesema tutashitakiwa Miga aombwe msamaha kwa lipi au atuombe radhi sisi kwa aliyotuhadaa kwa kutaka kututia uwoga

Na JPM angeliogopa tusingepata 700b yetu

Yeye Lissu atuombe msamaha sisi
 
Sasa aombwe msamaha wa nini?
Kwani msamaha tafsiri yake ni nini?

Ukisema kusomeshwa nje ni kigezo cha kutokosoa aliyekusomesha ni ujinga mpevu.
Imagine hapo pichani kuna msomi aliyesomeshwa kwa kodi za watanzania Urusi miaka 7 ila wewe unasema ni "bure" alisema hakuna umuhimu wa chanjo dhidi ya UVIKO bali watanzania wanywe michanyato ya tangawizi na mananasi je watu watanzania wangapi walipoteza wapendwa wao lini wataombwa msamaha kwa upotoshaji mkubwa kama huu.?
images (2).jpeg
 
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...


Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.

Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Wewe unajulikana una chuki binafsi na Tundu Lissu hilo halina mjadala. Mbona best wako Mwigulu Nchemba alivyochana bajeti kivuli ya kambi ya upinzani kwa maneno ya kejeli kubwa Bungeni hukutia neno? Wewe una chuki binafsi na Tundu Lissu na unaichukia Chadema kwa nguvu zako zote.
 
Ripoti za Mruma na Osoro juu ya Barrick/Acacia kulimbikiza deni hadi kufikia Trln 425 zilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alizikosoa na kuziita ni “Professorial Rubbish Report”.

Lissu alitoa ushauri wake kuwa kutokana na repoti hizo Barrick hawatalipa hilo deni na wakilazimishwa wakienda MIGA watashinda. Lissu alibezwa alipuuzwa na baada ya siku chache alimiminiwa risasi kuwa ni msaliti anayeshirikiana na mabeberu.

Barrick walitoa fedha za (Good faith) US$ 300M sawa na tsh 700b tu kati ya deni lote.

Jana Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba kwa niaba ya serikali amesema serikali imeisamehe Barrick/Acacia deni lote.

Uungwana ni vitendo mnyonge mnyongeni lakini haki zake apewe, Tundu Lissu aombwe radhi.

June 19, 2017
View attachment 2366316
Behind the scene inasemekana ripoti ya Prof Mruma ilikuwa vizuri. Ila yeye Jiwe ndiyo akaiharibu especially pale kwenye content ya gold ndani ya container. Mruma aliandika 0.7 Kg of gold per 20 ft container. Akamuambia toa hiyo point, ndipo Mruma akatoa na ikabakia 7.0 Kg per container.


Kama Tsh 360 Trillion ni thamani ya kodi waliyokwepa ACACIA kwa containers hizo tu za 1998-2017, kiasi cha gold ambayo imetoka Tanzania basi kilikuwa kinafikia 110,000 Tons through makinikia leave alone zile bars wanazo declare mgodini. Kama magufuli angekua na akili sawasawa angejiuliza vizuri je ni kweli tunayo dhahabu hiyo kwenye migodi yetu? Pili angeangalia deposits za gold Dunia nzima kwa 2017 zilikuwa 230,000 Tons. Meaning Tanzania ime supply 50% ya Gold duniani. Something that is not true! Tanzania haipo kati ya top 5 countries zenye gold minerals.

Halafu kabla hajapeleka madai ya USD 190 B angejiuliza Networth ya Barrick na Acacia ni ngapi? Maana makampuni yaliyo na net worth zaidi ya USD 100 Billion ni akina Tesla, Bill Gates, Warren Buffet na Bloomberg. Anyway Mungu alijuwa kati ya Lissu na Magufuli nani ndiyo mkweli, then March 17, 2021 akatoa hukumu ya kweli. Magufuli yuko Jehanam
 
Back
Top Bottom