Ni wakati sasa kwa Serikali kumuomba radhi Tundu Lissu aliyeshauri mapema kuachana na madai ya Barrick

Usijione mjuaji bwana. Findings zinakuwa criticised kwa kutumia vigezo vingi, mfano njia zilizotumika. Unatuletea layman's narratives halafu unalazimisha tukubaliane nawe? Hizi research umesoma peke yako? Mbona wajichora hapa jukwaani?
 
Usijione mjuaji bwana. Findings zinakuwa criticised kwa kutumia vigezo vingi, mfano njia zilizotumika. Unatuletea layman's narratives halafu unalazimisha tukubaliane nawe? Hizi research umesoma peke yako? Mbona wajichora hapa jukwaani?
Hasira za nini ndugu yangu,ukweli unabaki kuwa ukweli tu ata ukinuna.Basi eleza wewe unavyojua, Research unaipingaje,acha kelele kujifanya mjuaji.Wewe ndiyo unajichoresha kwa kuonesha ukilaza wako.
 
Wakina Osoro na Mruma waliweka hadharani findings,wekeni hizo mlizoziona ili na sisi tuweze kuona uwongo wakina Osoro na Mruma.
 
Mkuu shikamoo.tulishibishwa ujinga....ujinga unaoekekea kwenye upumbavu....ujinga ni laana.....
 
Nikuuzie wewe mkuu maana ulizonazo ni matope!

Hizo 700b zimetoka Kwa Lisu Miga?

Una uhakika kama zililipwa zote? Hata zililipwa zote? Kumbuka ziliitwa goodwill. Hata kama zililipwa zote hizo 700b, lakini ni bure maana madai ilikuwa ni 400t+, ni sawa na kudai ulipwe tembo, kisha ulipwe sungura halafu ufurahie kama zuzu.
 
Una uhakika kama zililipwa zote? Hata zililipwa zote? Kumbuka ziliitwa goodwill. Hata kama zililipwa zote hizo 700b, lakini ni bure maana madai ilikuwa ni 400t+, ni sawa na kudai ulipwe tembo, kisha ulipwe sungura halafu ufurahie kama zuzu.
Anadamu ya kijani hawezi kukuelewa.
 
Hiv kama msomi anafanya vitu vya kijinga,lipi linafaa kwake??
 
Hasira za nini ndugu yangu,ukweli unabaki kuwa ukweli tu ata ukinuna.Basi eleza wewe unavyojua, Research unaipingaje,acha kelele kujifanya mjuaji.Wewe ndiyo unajichoresha kwa kuonesha ukilaza wako.
Unayejifanya mjuaji niwewe unayeng'ang'ani dhana potofu. Ati utafiti hupingwa na utafiti, hiyo ni dhahania tu. Basi chukua ushindi na uendelee kuamini hivyo.

Wenzio ukileta matokea yako twaweza kuangalia research design uliyotumia ili kuhalalisha au kupingana na matokea husika. Hicho ni kigezo kimoja tu, vipo vingi. Soma ujielimishe zaidi na si kukariri narratives za kilayman.
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu pole sana
 
Mkuu hebu pumzika kwanza kuandika, umekuwa unaandika takataka sana siku hizi, naomba nikushauri, hebu jipe muda kwanza angalia ulipotoka na ulipo, bado una nafas ya kuendelea kuaminika.
 
Una uhakika kama zililipwa zote? Hata zililipwa zote? Kumbuka ziliitwa goodwill. Hata kama zililipwa zote hizo 700b, lakini ni bure maana madai ilikuwa ni 400t+, ni sawa na kudai ulipwe tembo, kisha ulipwe sungura halafu ufurahie kama zuzu.
Bure ni ipi kati ya tulitakiwa tupelekwe Miga kwa mjibu wa MTU wa hovyo kabisa kutokea nchini na hizo b700 zilizopatikana?
 
Ndugu zile trln 360 tulizokuwa tunadai zilipatikana baada ya kufanya research? kwahiyo unataka kutuambia na serikali imesamehe deni baada ya kufanya research? au na wao wamekurupuka tu.
 
Kings Ni wewe unayemuamini Magufuli mpàka leo
Kwanini nisimwamini, Wakati mambo yote yalifanyika hadharani,na mpaka Sasahivi tokea amefariki akuna aliyejitokeza kusema Magufuli alikuwa mwongo, ukweli ni huu.
 
U

Ndio maana umesema ni wewe , kaa ukifahamu kuna watu walihitaji chanjo pia kwanini wanyimwe haki hiyo na kushurutishwa kunywa michanyato.
Utakunywaje chanjo ambayo hata walioitengeza hawana uhakika nayo, Magufuli alitaka chanjo yenye uhakika iliyodhibitishwa, Sio hii ambayo kila Mtu anaikana, chanjo ambayo ukitaka kuchanjwa mpaka ule kiapo,eti litakalo kupata wao hawausiki, wakati wametengeneza wao,uoni kuwa kuna jambo lililojificha hapo!.
 
Bure ni ipi kati ya tulitakiwa tupelekwe Miga kwa mjibu wa MTU wa hovyo kabisa kutokea nchini na hizo b700 zilizopatikana?

Utapelekwa MIGA wakati tulinywea? Hiyo 700b tulipokea kwa kuogopa kuchukua hatua zaidi. Tungeshikilia hilo deni la 400t+ ndio ungejua hujui. Tundu Lisu alikuwa mtu wa hovyo kwenu nyie wafuasi wa dhalimu. Ila sisi wenye akili zetu tunajua ni mtu wa ukweli na uhakika.
 
Kwahiyo chanjo yenye uhakika ni ile alimtuma Kabudi na ndege ya serikali huko Madagascar?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…