Usijione mjuaji bwana. Findings zinakuwa criticised kwa kutumia vigezo vingi, mfano njia zilizotumika. Unatuletea layman's narratives halafu unalazimisha tukubaliane nawe? Hizi research umesoma peke yako? Mbona wajichora hapa jukwaani?Punguza mihemko Mkuu,hiyo ni kanuni na ethics za Research, scientific research report inapingwa kwa kufanya utafiti wa kisayansi tena.
Nasisitiza inayoendelea ni mihemko tu,mpaka ije ripoti nyingine ndiyo utafiti ule utakanushwa lakini siyo kwa pambio na taarab nyingi.
Hasira za nini ndugu yangu,ukweli unabaki kuwa ukweli tu ata ukinuna.Basi eleza wewe unavyojua, Research unaipingaje,acha kelele kujifanya mjuaji.Wewe ndiyo unajichoresha kwa kuonesha ukilaza wako.Usijione mjuaji bwana. Findings zinakuwa criticised kwa kutumia vigezo vingi, mfano njia zilizotumika. Unatuletea layman's narratives halafu unalazimisha tukubaliane nawe? Hizi research umesoma peke yako? Mbona wajichora hapa jukwaani?
Wakina Osoro na Mruma waliweka hadharani findings,wekeni hizo mlizoziona ili na sisi tuweze kuona uwongo wakina Osoro na Mruma.Unaelewa misingi ya uchunguzi/research? Kilichofanywa na Mruma na team yake haikuwa research. Walifanya tu samples lab analysis tena kwenye maabara ambayo siyo acredited, lakini wakapata majibu kama yaliyokuwa presented kwenye export documents za Acacia. Wakaambiwa wabadilishe kwa sababu mkuu wa mchi amekwishwaaminisha wananchi kuwa tunaibiwa.
Ile haikuwa scientific research. Huwezi kusema unafanya research wakati ukiwa umeweka majibu tayari mezani, nasema majibu, siyo hypothesis.
Wewe unazungumzia kitu ambacho huna ufahammu nacho. Tulioona ecpirt documents za Barrick na lab results za maabara ya madini Dodoma, tunafahamu na tuna uhakika na tunachoongea.
Report ya Mruma iliyosomwa mbele ya vyombo vya habari kwa kadiri alivyoelekezwa na wasiojulikana, ulikuwa ni upuuzi mtupu ambao hata Prof. Mruma mwenyewe hakuutaka kabisa. Bahati mbaya hakuwa na chaguo jingine. Mpaka leo anajutia. Ni kati ya matukio ambayo hatayasahau maisha yake yote.
We mke mdogo Hiyo mimba ya TAL itoe itakuua.....Tundu Lisu huyu huyu wa Ufipa st?
Serikali ilimsomesha bure huyo TAL ujue!
Kama wewe ulivyotoa ya Mpemba MwalimuWe mke mdogo Hiyo mimba ya TAL itoe itakuua.....
Kwa namna ambavyo baadhi ya watu wakati ule walivyokuwa wameshibishwa ujinga, hata wangeambiwa kuna mpango wa Serikali wa kumnunulia kila mwananchi ndege aina ya Boeing 737-800, wangeshangilia na kusema tumepata mkombozi. Ujinga ni laana kubwa, hasa ujinga ule unaoelekea kwenye upumbavu.
Nikuuzie wewe mkuu maana ulizonazo ni matope!
Hizo 700b zimetoka Kwa Lisu Miga?
Anadamu ya kijani hawezi kukuelewa.Una uhakika kama zililipwa zote? Hata zililipwa zote? Kumbuka ziliitwa goodwill. Hata kama zililipwa zote hizo 700b, lakini ni bure maana madai ilikuwa ni 400t+, ni sawa na kudai ulipwe tembo, kisha ulipwe sungura halafu ufurahie kama zuzu.
Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...
Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.
Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Unayejifanya mjuaji niwewe unayeng'ang'ani dhana potofu. Ati utafiti hupingwa na utafiti, hiyo ni dhahania tu. Basi chukua ushindi na uendelee kuamini hivyo.Hasira za nini ndugu yangu,ukweli unabaki kuwa ukweli tu ata ukinuna.Basi eleza wewe unavyojua, Research unaipingaje,acha kelele kujifanya mjuaji.Wewe ndiyo unajichoresha kwa kuonesha ukilaza wako.
Hivi ni halali kuiita ripoti za Professor Osoro na Mruma kuwa Professorial Rubish kabla kufanya utafiti mwingine wa kisayansi ili kupata matokeo sahihi.Kwa sasa mtazamo wangu katika taaluma ya Research mpaka sasa Ripoti za Professor Osoro na Mruma ni sahihi mpaka pale itakapofanywa study nyingine.Kwaiyo katika jicho la kitafiti yeye Lissu hoja zake ndiyo Rubish!
Kwa wale ambao tupo au tumewahi kufanya kazi za Research and Consultancy nadhani mmenielewa
Mkuu hebu pumzika kwanza kuandika, umekuwa unaandika takataka sana siku hizi, naomba nikushauri, hebu jipe muda kwanza angalia ulipotoka na ulipo, bado una nafas ya kuendelea kuaminika.Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...
Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.
Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Bure ni ipi kati ya tulitakiwa tupelekwe Miga kwa mjibu wa MTU wa hovyo kabisa kutokea nchini na hizo b700 zilizopatikana?Una uhakika kama zililipwa zote? Hata zililipwa zote? Kumbuka ziliitwa goodwill. Hata kama zililipwa zote hizo 700b, lakini ni bure maana madai ilikuwa ni 400t+, ni sawa na kudai ulipwe tembo, kisha ulipwe sungura halafu ufurahie kama zuzu.
Ndugu zile trln 360 tulizokuwa tunadai zilipatikana baada ya kufanya research? kwahiyo unataka kutuambia na serikali imesamehe deni baada ya kufanya research? au na wao wamekurupuka tu.Punguza mihemko Mkuu,hiyo ni kanuni na ethics za Research, scientific research report inapingwa kwa kufanya utafiti wa kisayansi tena.
Nasisitiza inayoendelea ni mihemko tu,mpaka ije ripoti nyingine ndiyo utafiti ule utakanushwa lakini siyo kwa pambio na taarab nyingi.
Wewe malaya huwezi kukaa kimya?Tundu Lisu huyu huyu wa Ufipa st?
Serikali ilimsomesha bure huyo TAL ujue!
Kwanini nisimwamini, Wakati mambo yote yalifanyika hadharani,na mpaka Sasahivi tokea amefariki akuna aliyejitokeza kusema Magufuli alikuwa mwongo, ukweli ni huu.Kings Ni wewe unayemuamini Magufuli mpàka leo
Utakunywaje chanjo ambayo hata walioitengeza hawana uhakika nayo, Magufuli alitaka chanjo yenye uhakika iliyodhibitishwa, Sio hii ambayo kila Mtu anaikana, chanjo ambayo ukitaka kuchanjwa mpaka ule kiapo,eti litakalo kupata wao hawausiki, wakati wametengeneza wao,uoni kuwa kuna jambo lililojificha hapo!.U
Ndio maana umesema ni wewe , kaa ukifahamu kuna watu walihitaji chanjo pia kwanini wanyimwe haki hiyo na kushurutishwa kunywa michanyato.
Bure ni ipi kati ya tulitakiwa tupelekwe Miga kwa mjibu wa MTU wa hovyo kabisa kutokea nchini na hizo b700 zilizopatikana?
Kwahiyo chanjo yenye uhakika ni ile alimtuma Kabudi na ndege ya serikali huko Madagascar?Utakunywaje chanjo ambayo hata walioitengeza hawana uhakika nayo, Magufuli alitaka chanjo yenye uhakika iliyodhibitishwa, Sio hii ambayo kila Mtu anaikana, chanjo ambayo ukitaka kuchanjwa mpaka ule kiapo,eti litakalo kupata wao hawausiki, wakati wametengeneza wao,uoni kuwa kuna jambo lililojificha hapo!.
Ile haikuwa chanjo mkuu,fatilia vizuri acha kuchanganya mambo.Kwahiyo chanjo yenye uhakika ni ile alimtuma Kabudi na ndege ya serikali huko Madagascar?