Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 5,200
- 12,762
Mimi mpaka Leo sijawahi ona zile 10m kila kijiji licha ya kuzisubili kwa hamu hakika dhalimu alikuwa kiongozi wa wajinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani nchi imeoza tuongee taratibu Kwa elimu zipi mayalla uzee unakusumbuaKwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Wanajitahidi kuwa na shingo ngumu, hata Farao alikuwa hivyohivyoLissu again has proven them Wrong
Zamani nilikuwa nakuelewa ila siku hizi huna tofauti na hao Maprofesa wa makinikia. You are no longer critical.Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...
Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.
Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Uzuri hujasema ccm umesema serikali ambayo sio ccmTundu Lisu huyu huyu wa Ufipa st?
Serikali ilimsomesha bure huyo TAL ujue!
Yes tulisoma naye Ilboru ilikuwa ni bure hadi nauli iliyokuleta unawasilisha risiti kwa School Basa unarudishiwa fedha zako. Siku ya kufunga shule unapewa warrant una safiri bure.
Chuo Kikuu, pia kasomeshwa bure LL.B , UDSM
P
Serikali na CCM ni Kitu kimojaUzuri hujasema ccm umesema serikali ambayo sio ccm
Ni upuuzi kudhani kila kitu kinahitaji research. Hivi mtu akikuambia amekamata mwizi akiwa amebeba tani 1,000 za mchele kwenye bajaji, utahitaji kwenda kifanya research, kusema kuwa ni uwongo?Hivi ni halali kuiita ripoti za Professor Osoro na Mruma kuwa Professorial Rubish kabla kufanya utafiti mwingine wa kisayansi ili kupata matokeo sahihi.Kwa sasa mtazamo wangu katika taaluma ya Research mpaka sasa Ripoti za Professor Osoro na Mruma ni sahihi mpaka pale itakapofanywa study nyingine.Kwaiyo katika jicho la kitafiti yeye Lissu hoja zake ndiyo Rubish!
Kwa wale ambao tupo au tumewahi kufanya kazi za Research and Consultancy nadhani mmenielewa
Mruma, mpaka leo anajutia kwa namna alivyolazimishwa kutumika.Prof Muruma na Usoro walikuwa sahihi ispokuwa yale ni maslahi ya watu wa ccm na( strong people)
Sisi tulisoma bure toka darasa la kwanza hadi chuo kikuu. Hospital pia zilikuwa bure!.Basi sawa, sisi tuliozaliwa kuanzia mwaka 1987 tumejilipia shule hizo hizo na chuo kikuu pia tena pale pale UDSM.
Punguza mihemko Mkuu,hiyo ni kanuni na ethics za Research, scientific research report inapingwa kwa kufanya utafiti wa kisayansi tena.Ni upuuzi kudhani kila kitu kinahitaji research. Hivi mtu akikuambia amekamata mwizi akiwa amebeba tani 1,000 za mchele kwenye bajaji, utahitaji kwenda kifanya research, kusema kuwa ni uwongo?
Zile report, ya Mruma na Osoro, zilikuwa ni takataka. Na hata wao ukiwauliza (sisi wengine ni watu wa karibu nao), wanakuambia wazi jinsi walivyolazimishwa kuandika upuuzi ule.
Yaani kodi inazidi thamani ya dhahabu yote iloyowahi kuchimbwa Tanzania, halafu bado unahitaji research kujua kuwa zile report zilikuwa takataka?
Hivi ni halali kuiita ripoti za Professor Osoro na Mruma kuwa Professorial Rubish kabla kufanya utafiti mwingine wa kisayansi ili kupata matokeo sahihi.Kwa sasa mtazamo wangu katika taaluma ya Research mpaka sasa Ripoti za Professor Osoro na Mruma ni sahihi mpaka pale itakapofanywa study nyingine.Kwaiyo katika jicho la kitafiti yeye Lissu hoja zake ndiyo Rubish!
Kwa wale ambao tupo au tumewahi kufanya kazi za Research and Consultancy nadhani mmenielewa
Unaelewa misingi ya uchunguzi/research? Kilichofanywa na Mruma na team yake haikuwa research. Walifanya tu samples lab analysis tena kwenye maabara ambayo siyo acredited, lakini wakapata majibu kama yaliyokuwa presented kwenye export documents za Acacia. Wakaambiwa wabadilishe kwa sababu mkuu wa mchi amekwishwaaminisha wananchi kuwa tunaibiwa.Punguza mihemko Mkuu,hiyo ni kanuni na ethics za Research, scientific research report inapingwa kwa kufanya utafiti wa kisayansi tena.
Nasisitiza inayoendelea ni mihemko tu,mpaka ije ripoti nyingine ndiyo utafiti ule utakanushwa lakini siyo kwa pambio na taarab nyingi.
Wametudharau sana hawa mabeberuWangelipa hata asilimia 20% ya deni lote japo kwa awamu, kulipa tsh. 0.7tril kati ya tsh. 400+trilion ni dharau au walitulisha propaganda hawa inzi wa kijani. Pumbafu.
Mimi bado naamini ripoti za Wataalam akina prof Muruma ilikuwa sahihi.Unaelewa misingi ya uchunguzi/research? Kilichofanywa na Mruma na team yake haikuwa research. Walifanya tu samples lab analysis tena kwenye maabara ambayo siyo acredited, lakini wakapata majibu kama yaliyokuwa presented kwenye export documents za Acacia. Wakaambiwa wabadilishe kwa sababu mkuu wa mchi amekwishwaaminisha wananchi kuwa tunaibiwa.
Ile haikuwa scientific research. Huwezi kusema unafanya research wakati ukiwa umeweka majibu tayari mezani, nasema majibu, siyo hypothesis.
Wewe unazungumzia kitu ambacho huna ufahammu nacho. Tulioona ecpirt documents za Barrick na lab results za maabara ya madini Dodoma, tunafahamu na tuna uhakika na tunachoongea.
Report ya Mruma iliyosomwa mbele ya vyombo vya habari kwa kadiri alivyoelekezwa na wasiojulikana, ulikuwa ni upuuzi mtupu ambao hata Prof. Mruma mwenyewe hakuutaka kabisa. Bahati mbaya hakuwa na chaguo jingine. Mpaka leo anajutia. Ni kati ya matukio ambayo hatayasahau maisha yake yote.
Na hili andiko lako Ni News reporter's Rubbish.Japo ni kweli lakini sio busara kufanya ukosoaji kwa kutumia maneno makali yenye lugha ya maudhi, wewe huna Ph.D, ripoti ya Ph.D holder, huwezi kuita "a professional rubish". Hata akina sisi tuliikosoa ripoti hiyo lakini tulitumia lugha ya kistaarabu! Sensationalism kwenye Professional Presentations inakubalika? Ni swali tu...
Serikali, mabenki na taasisi za fedha ziko huru kusamehe sehemu ya deni au deni lote, kitu muhimu ni wenye fedha zao kujulishwa. Licha ya umasikini wote uliotopea wa nchi yetu, hakuna ubaya wowote kusamehe deni lolote kwa yeyote, lakini lazima utoe sababu why unasamehe, ila pia unaposamehe majizi ndio muhimu zaidi kuwa transparent, ili isije kuonekana viongozi wetu wamekuwa compromised !.
Kwenye hili aombwe radhi kwa lipi?.
P
Useless and takataka PhDs.Kwa hiyo mtu akiwa na PhD akiongea/kuandika ujinga uitwe werevu kisa yeye amesoma ana PhD?
Mm nasema hapana ujinga ni ujinga hata kama mtu ni mzee,ana digrii milioni tuwe wakweli kuna wasomi nchi hii ni mizigo na useless kabisa.
Umemaliza kazi. AsanteKila mwenye akili timamu alijua kuwa madai yale ulikuwa uwongo mkubwa. Ni sawa uambiwe kuwa mwenye duka la mtaji wa 2m anadaiwa kodi ya sh 2 bilioni. Lazima uwe punguani kiasi kuweza kuliamini hilo.
Total gold resource ya migodi yote ya Barrick kwa Tanzania ni 0.75MOz Tulawaka + 4MOz Buzwagi + 7MOZ North Mara + 12MOZ Bulyanhulu = 23.75MOz. Mineable resource haiwezi kuzidi 60% = 14.25MOz. Dhahabu iliyokwishachimbwa, japo sina uhakika, haiwezi kuzidi 50%.= 7.1MOz. Thamani ya hii dhahabu iloyochimbwa, kwa bei ya juu kabisa, ya U$2,000 kwa oz = $14 billion (14 billion ×2,300 = TZS 32 trillion)
Hata ungesema hiyo hela yote iwe kodi, halafu wasiwe wametoa kodi hata shilingi moja, bado haifikii hata 10% ya trilioni 360 ambayo waliotuona wajinga walikuwa wakituaminisha.
Hata kama walitaka kuwadanganya wananchi, wangeweka huo uwongo wao uwe unakaribia na ukweli. Lakini wahusika kwa vile walijua wanaongoza nchi ya wasio na kitu vichwani, walijua wapo wenye vichwa vitupu kabisa, ambao ni wengi, watashangilia na kuwaona ni mashujaa. Uwongo ule ni miongoni mwa mambo yaliyotufanya waafrika tuendelee kuonekana kuwa siyo binadamu timilifu.
Kwa namna ambavyo baadhi ya watu wakati ule walivyokuwa wameshibishwa ujinga, hata wangeambiwa kuna mpango wa Serikali wa kumnunulia kila mwananchi ndege aina ya Boeing 737-800, wangeshangilia na kusema tumepata mkombozi. Ujinga ni laana kubwa, hasa ujinga ule unaoelekea kwenye upumbavu.
Payalla Ni takataka Kama zingine za Osoro and his rubbish friend so called professor!Mayala, sijui nitumie neno gani, maana nisijekutafsiriwa vibaya, ilihali heshima yangu kwako haijawahi kukosekana.
Kwa ufupi kabisa, niseme tu kuwa, utumie akili na maarifa yako vizuri. Kujifanya mjinga wakati una akili ni kudhihaki kazi ya muumba wetu aliyetujalia ufahamu.
Hakukuwa na deni la trilioni 360, hivyo hakukuwepo na msamaha. Hakuna tulichosamehe, bali tuliomba tupewe chochote, tukakubaliwa kupewa $300m ndani ya kipindi cha miaka 7, na hizo pesa zitakuwa zinatoka kwenye mauzo ya makinikia. Installment ya kwanza itakuwa baada ya kuruhusu makinikia yaliyozuliwa, yasafirishwe. Tukatii amri. Halafu tukasaini makubaliano kuwa, kwa vyovyote iwavyo, siku za mbeleni, hata kukiwa na mgogoro, kamwe hatutazuia usafirishaji wa dhahabu wala makinikia, tutaenda kwenye meza ya mazungumzo. Suluhisho lazima liwe limepatikana ndani ya siku 30. Ikishindikana, mahakama ya biashara ya Singapore itaingilia kati na kutoa maamuzi, na maamuzi yake hayatakatiwa rufaa mahali popote na upande wowote.
Hatukuwa na madai, hatukutoa msamaha kwa sababu hakukuwa na chochote tunachokidai, tulipewa pesa ya msaada, kama tunavyosaidiwa na mataifa wahisani.
Kings Ni wewe unayemuamini Magufuli mpàka leoKwaiyo tumeshitakiwa MIGA kama madai ya Lissu alivyokuwa akituogepesha kuwa watatunyoa kwa vipande vya chupa pasipo kutumia maji?kweli ujinga hautaisha nchi hii.