Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

Ni wakati sasa Serikali iingilie kati suala la wadada wanaojiuza

Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.

Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.

Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.

Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.

Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.

Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Wanaume tususe kuwa nunua, biashara kwisha....
 
Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.

Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.

Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.

Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.

Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.

Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Asante kwa kijitangsza, tutatembelea hayo maeneo kupata mbunyenye za bei rahisi!
 
Viongozi wetu walivyo na akili za kukopa watakimbia huko nako wakabomoe.

Mwisho wa siku mji mzima utaishia kubomolewa.

Suluhisho la kuwafukuza hawa watu sio kuwabomolea makazi yao.

Tatizo la aina hii linaanzia mbali sana.

Kwenye level ya familia. Malezi mabovu lazima tu yalete matokeo mabovu.
 
Hali ya maisha ikiwekwa kwenye viwango ambavyo binadamu anastahili basi hali hii ya hao watu kujiuza itapungua sana na baadae kutoweka kabisa sababu inaweza kupatikana kwa gharama kubwa sana kiasi wanunuaji wakapungua sana labda watabaki wale wanapata 18M kwa mwezi Kama nao ni wateja. Biashara itakufa
 
Back
Top Bottom