Iyerdoi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2012
- 2,717
- 3,895
Boss; Ni maeneo gani ambayo hutarajii kabisa kuwakuta?Yani wamekia na uhuru mkubwa sana hata ile haya hawana tena, unawakuta maeneo ambao huwezi tarajia kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss; Ni maeneo gani ambayo hutarajii kabisa kuwakuta?Yani wamekia na uhuru mkubwa sana hata ile haya hawana tena, unawakuta maeneo ambao huwezi tarajia kabisa
Wanaume tususe kuwa nunua, biashara kwisha....Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Asante kwa kijitangsza, tutatembelea hayo maeneo kupata mbunyenye za bei rahisi!Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Kwaiyo Kuna uhusiano Kati ya single mother na kujiuza?Hili suala limekithiri sana, na wengi wao husema changamoto za kimaisha
Pia wanaofanya ivyo ni ma-single mother. 🥲
Chanika Ni Balaa na NusuNineshangaa sana hadi chanika wana chimbo za kutosha aisee…..
Ni kweli hili liangaliwe lasivyo linaenda kuathiri kizazi kwa kiasi kikubwa sana.
Chanika sehemu ganiNineshangaa sana hadi chanika wana chimbo za kutosha aisee…..
Ni kweli hili liangaliwe lasivyo linaenda kuathiri kizazi kwa kiasi kikubwa sana.
Chanika sehemu gani? Na ni wa umri gani? Watu wazima au vitoto vya elfu 2?Chanika Ni Balaa na Nusu
Eboo! Single mama tena mnawatupia huu mzigo 🤣🤣🤣🤣Hili suala limekithiri sana, na wengi wao husema changamoto za kimaisha
Pia wanaofanya ivyo ni ma-single mother. 🥲
Okay sawaMtaani kwetu hamna chimbo, nilisikia tu chanika mwisho wapo ila sijawahi kushuhudia.
Chanika ni kubwa bwasheeNineshangaa sana hadi chanika wana chimbo za kutosha aisee…..
Ni kweli hili liangaliwe lasivyo linaenda kuathiri kizazi kwa kiasi kikubwa sana.
Chanika mwisho sehemu gani?Mtaani kwetu hamna chimbo, nilisikia tu chanika mwisho wapo ila sijawahi kushuhudia.