LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Sawa mkuu ni danguro au ?Sijui! Ila ukifika ukauliza bodaboda wao watakupa majibu sahihi, Siunajua wao wanajua kila kitu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu ni danguro au ?Sijui! Ila ukifika ukauliza bodaboda wao watakupa majibu sahihi, Siunajua wao wanajua kila kitu.
In my phone searching 4 bodabodachanikaSijui! Ila ukifika ukauliza bodaboda wao watakupa majibu sahihi, Siunajua wao wanajua kila kitu.
Wapo wanao jipanga barabarani na wapo wanao kaa kwenye vyumba ambayo sasa ndio madanguro hayoWanajiuza ikimaanisha ni danguro
Au danguro ina maana gani
Yes nimekuelewa Nina enda sana Chanika Nimejenga huko Nina namba za boda boda wa chanika ambazo nimezisave kwa jina: Bodaboda chanika . That's why I was saying am in my phone searching 4 bodaboda chanika.Mkuu elewa! Sio chanika mwisho sehemu inayoitwa bodaboda!
Nimemaanisha ukifika chanika mwisho wafate wale wakaka wanaoendesha bodaboda uwaulizee
Hapa sijui wao ni wa wapi, mimi sijawahi kuwaona nilisikia tu kwa watu.Wapo wanao jipanga barabarani na wapo wanao kaa kwenye vyumba ambayo sasa ndio madanguro hayo
Yes najua na Mimi nitawatafuta baada ya ramadhani ila sitaki mishangazi ya 2004 nataka watoto wa 2006Hapa sijui wao ni wa wapi, mimi sijawahi kuwaona nilisikia tu kwa watu.
KUmbuka huu ni mwezi mtukufu
Nope hapanaNikajua unasearch location bodaboda chanika
Kaka huu mji ni wamoto. Jana nipo zangu Mnazi Mmoja nikawaona wamama wengi wa kila Rika (kiujumla huwa nawakuta) wamekaa nje fremu zisizofunguliwa, ikabidi nimuulize mwenyeji wangu kuhusu Ile hali, nikajibiwa kuwa wana Biashara zao 1. Ombaomba 2. Ukahaba.Yes najua na Mimi nitawatafuta baada ya ramadhani ila sitaki mishangazi ya 2004 nataka watoto wa 2006
Nimependa confidence ya bintiHii thread bila video haita enda vizuri
Vizuri kwa kuonesha ushirikianoKwa wakazi wa Goba, Mwambie konda akushushe kituo cha Msaada LASTANZA
Watoto kama wote
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Mbona mikoani iko kitamboo tyuuh.Hiyo huduma tuletewe na mikoani tafadhali, Asante.
Umemaliza kila kitu.Kama unaona bidhaa iko dukani ujue kuna wanunuzi, bidhaa ambazo hazina wanunuzi huondolewa
Kuwapa mtaa au eneo maalumu haitobadirisha uhalisia kwamba maadili yamevurugika kwa asilimia kubwa sana.Hi biashara sasa imekua holela sana, yani hawa wadada wanaamua popote kambi, mtaani imekua kero sana.
Sehemu haina baa wala nini lakini wanamua kuchukua nyumba na kuweka kambi.
Nimeshangaa kukuta wadada wanaojiuza kinyerezi mbuyuni na segerea chama sehemu ambayo haina baa na pako kimya ni makazi ya watu, tena saa tatu tayari wako barababarani.
Ku pretend hili suala halipo, ni kuweka vichwa vyetu kwenye mchanga huku miili yote iko nje.
Ni vema sasa hawa watu wawe na maeneo maalum ya mambo yao, watuachie mitaa /maeneo ya makazi. Si jambo jema kabisa.
Hata ni mtaa moja basi wapeni wakae
Chanika mbona siwaonagi? Embu nitajie location zaoNineshangaa sana hadi chanika wana chimbo za kutosha aisee…..
Ni kweli hili liangaliwe lasivyo linaenda kuathiri kizazi kwa kiasi kikubwa sana.
Ukipata chimbo nishtue nikafanye tour kma Vasco da gamaYes nimekuelewa Nina enda sana Chanika Nimejenga huko Nina namba za boda boda wa chanika ambazo nimezisave kwa jina: Bodaboda chanika . That's why I was saying am in my phone searching 4 bodaboda chanika.
Mkuu, Kwani wao sio watu? 😳 Kula tunda sio lazima kuwe na kumbi za starehe. Mwenye kumiliki kumbi za starehe yupo na biashara yake binafsi na mdada yupo na biashara yake binafsi (Tofauti) na hawaingiliani.M
Maeneo ambayo ni makazi ya watu na hakuna kumbi za starehe