Ni wakati turuhusu New Breed CHADEMA

Ni wakati turuhusu New Breed CHADEMA

niliona na nikashauri kibobevu jambo hili mapema, nafurahi kamanda umeliona na kulieleza kwa kina kwa namna nyingine....

mie bado nashauri na kusisitiza, lisu na mbowe waondoke kwa pamoja chamani kwasabb akibaki moja wapo vita baridi ya maneno itaendelea kua pale pale na kuzidisha migawanyiko chamani....

sasa kuondokana na kasumba hiyo hakuna budi kukaribisha mawazo, mtazamo na fikra mapya, mipango mipya, uelekeo na pumzi mpya chadema...

wangwana hao wapewe thank you, lakini pia hawana budi kuachia ngazi au kutoswa wakidinda...
migawanyiko na mipasuko wanayosababisha dah, imetosha ndrugu zango 🐒

Lissu na Mbowe waking'atuka, CHADEMA itaimarika sana na kuwa chama cha upinzani chenye ushawishi na nguvu sana Tanzania
Umeongea vizuri lakini uliposema hao wang'atuke umeharibu tunawahitaji sana ila tu asiwepo mwenye nia au amesha...............asali. Hao wote Wana uthubutu wa kutusemea yanayoikwaza nchi.
 
Umeongea vizuri lakini uliposema hao wang'atuke umeharibu tunawahitaji sana ila tu asiwepo mwenye nia au amesha...............asali. Hao wote Wana uthubutu wa kutusemea yanayoikwaza nchi.
kung'atuka uongozini sijamaanisha wasiwe wanachama au hata washauri tu, lahashaa..

wamefanya kazi kubwa, nzuri sana na iliyotukuka inatosha, Demokrasia ya Chadema inawashukuru, haina haja kisubiri kuvurumushwa kama mbatia,

ni wakati muafaka sana sasa rika mpya, mawazo mapya, fikra mpya, uelekeo mpya na pumzi mpya kushika hatamu na ichukue nafasi kuelekea mbele 🐒
 
Kutokana na sintofahamu kwenye chama Cha CHADEMA inayoendelea sasa hivi ndani ya chama hasa Viongozi kuhongwa na suala la akina Halima Mdee kurudishwa kwenye chama huko mbeleni, nina ushauri maalumu.

Ushauri wangu ni kwamba CHADEMA ijikite kwenye damu changa na siyo kuendelea kuhangaika na majina ya Viongozi waliohudumu CHADEMA Kwa muda mrefu. Hii Hali ya kuwa na Viongozi wa muda mrefu kwenye chama ndio inasababisha mgawanyiko. Maana Kuna Viongozi wengine wanajiona wao ndio Bora kwenye chama bila wao chama hakiendi, hivyo kuleta vitisho vya kuhama.

Mimi nadhani tukiwekeza kwa vijana na kuachana na haya majina makubwa hicho kiburi kitapungua. Kwa mfano kiongozi ndani ya CHADEMA anagombea cheo Fulani , asipokipata anahama chama. Hili tumeliona kwa Katibu Mkuu wa zamani Dr Mashinji aliyeondoka CHADEMA na kuhamia CCM baada ya kutoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. kwa Msigwa pia baada ya kuanguka uenyekiti wa Kanda ya Nyasa na hata kwa Selasini baada ya kushindwa uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini akahamia NCCR. Hii ni hatari Sana. Hivi karibuni Wenje katangaza kugombea umakamu wenyekiti, je akianguka atabaki kwenye chama? au atahama Kama Msigwa. Je John Mnyika asipoteuliwa Tena kwenye Ukatibu Mkuu atabaki kwenye chama? Ila tungekubali kuwapa nafasi vijana ndani ya chama haya mambo ya Kiongozi kugombea nafasi kisa anataka kuhama yasingekuwepo maana anajua akiondoka wapo wengi wa kujaza nafasi yake.

Pia Kuna ujinga Fulani ndani ya CHADEMA ya kwamba kiongozi Fulani akipata ubunge anaanza kuota mapembe na kukidharau chama. Tumeona hili kwa Nassari ambaye alidiriki hata kukacha vikao vya bunge ili afukuzwe ahamie CCM, tumeona kwenye bunge la 2015 kwa akina Silinde, Lwakatare, Kubenea, nk wengi waliohama chama na kukidharau baada ya kupata ubunge, maana walijiona wao Wana majina makubwa hivyo chama kinawahitaji kuliko wao kukihitaji chama. Ila tungewekeza kwa vijana haya maujinga yasingekuwepo.

Mwisho CHADEMA imeshakuwa brand, Sasa tuiuze hiyo brand watu wailewe ili tupate vijana wengi wanachama. Tuje na strategies ya kupata vijana wengi.

Tatizo lenu mkitishwa mna retract.

Mbowe ajiuzulu mara moja kama Mwenyekiti wa CHADEMA

Kwani kwenye uzi huo uliishia wapi?

Kwamba kukomaa na mnachoamini, ubavu umepatikana sasa?

Kwamba watoke wenyewe labda kama jambazi anaweza kujihukumu kunyongwa!

imhotep au nasema uongo ndugu zangu?
 
kung'atuka uongozini sijamaanisha wasiwe wanachama au hata washauri tu, lahashaa..

wamefanya kazi kubwa, nzuri sana na iliyotukuka inatosha, Demokrasia ya Chadema inawashukuru, haina haja kisubiri kuvurumushwa kama mbatia,

ni wakati muafaka sana sasa rika mpya, mawazo mapya, fikra mpya, uelekeo mpya na pumzi mpya kushika hatamu na ichukue nafasi kuelekea mbele 🐒
CCM anapotoa ushauri ni sawa na shetani kushauri mbinu za kufika mbinguni
 
Umeongea vizuri lakini uliposema hao wang'atuke umeharibu tunawahitaji sana ila tu asiwepo mwenye nia au amesha...............asali. Hao wote Wana uthubutu wa kutusemea yanayoikwaza nchi.

Uzuri ni kuwa aliyelamba asali anajulikana.

COVID-19 hawakaribishwi.

Chawa wote waufyate kama vipi muda wa kuchapana viboko ikibidi ni huu.

Bottom line hakuna kuwaachia chama:

Viva Lissu, Viva! Pamoja nawe ukombozi utapatikana!
 
CCM anapotoa ushauri ni sawa na shetani kushauri mbinu za kufika mbinguni
kaa, baki na kushupaza shingo vizuri zaidi ili ivunjike vizuri na ikiwa inakusaidia kuongeza uelewa na ufahamu jitahidi tu isikupe mihememko 🐒

sorry for confusion 🤣
 
Kutokana na sintofahamu kwenye chama Cha CHADEMA inayoendelea sasa hivi ndani ya chama hasa Viongozi kuhongwa na suala la akina Halima Mdee kurudishwa kwenye chama huko mbeleni, nina ushauri maalumu.

Ushauri wangu ni kwamba CHADEMA ijikite kwenye damu changa na siyo kuendelea kuhangaika na majina ya Viongozi waliohudumu CHADEMA Kwa muda mrefu. Hii Hali ya kuwa na Viongozi wa muda mrefu kwenye chama ndio inasababisha mgawanyiko. Maana Kuna Viongozi wengine wanajiona wao ndio Bora kwenye chama bila wao chama hakiendi, hivyo kuleta vitisho vya kuhama.

Mimi nadhani tukiwekeza kwa vijana na kuachana na haya majina makubwa hicho kiburi kitapungua. Kwa mfano kiongozi ndani ya CHADEMA anagombea cheo Fulani , asipokipata anahama chama. Hili tumeliona kwa Katibu Mkuu wa zamani Dr Mashinji aliyeondoka CHADEMA na kuhamia CCM baada ya kutoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. kwa Msigwa pia baada ya kuanguka uenyekiti wa Kanda ya Nyasa na hata kwa Selasini baada ya kushindwa uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini akahamia NCCR. Hii ni hatari Sana. Hivi karibuni Wenje katangaza kugombea umakamu wenyekiti, je akianguka atabaki kwenye chama? au atahama Kama Msigwa. Je John Mnyika asipoteuliwa Tena kwenye Ukatibu Mkuu atabaki kwenye chama? Ila tungekubali kuwapa nafasi vijana ndani ya chama haya mambo ya Kiongozi kugombea nafasi kisa anataka kuhama yasingekuwepo maana anajua akiondoka wapo wengi wa kujaza nafasi yake.

Pia Kuna ujinga Fulani ndani ya CHADEMA ya kwamba kiongozi Fulani akipata ubunge anaanza kuota mapembe na kukidharau chama. Tumeona hili kwa Nassari ambaye alidiriki hata kukacha vikao vya bunge ili afukuzwe ahamie CCM, tumeona kwenye bunge la 2015 kwa akina Silinde, Lwakatare, Kubenea, nk wengi waliohama chama na kukidharau baada ya kupata ubunge, maana walijiona wao Wana majina makubwa hivyo chama kinawahitaji kuliko wao kukihitaji chama. Ila tungewekeza kwa vijana haya maujinga yasingekuwepo.

Mwisho CHADEMA imeshakuwa brand, Sasa tuiuze hiyo brand watu wailewe ili tupate vijana wengi wanachama. Tuje na strategies ya kupata vijana wengi.
Vijana kwa Tanzania hii unawatoa wapi? Nchi hii tuna uhaba mkubwa wa vijana
 
Hili tumeliona kwa Katibu Mkuu wa zamani Dr Mashinji aliyeondoka CHADEMA na kuhamia CCM baada ya kutoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. kwa Msigwa pia baada ya kuanguka uenyekiti wa Kanda ya Nyasa na hata kwa Selasini baada ya kushindwa uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini akahamia NCCR. H
Aisee! Hata John Mrema siku aliondolewa kwenye nafasi yake aliyoikalia kwa zaidi ya muongo mmoja atahamia ccm.
 
New breed haitasaidia.

Tuwe na vyama vipya tu.

Kama kweli tunadhamiria kuilinda hii nchi ila kama ni yale yale sawa tu, new breed new thieves.
 
Kutokana na sintofahamu kwenye chama Cha CHADEMA inayoendelea sasa hivi ndani ya chama hasa Viongozi kuhongwa na suala la akina Halima Mdee kurudishwa kwenye chama huko mbeleni, nina ushauri maalumu.

Ushauri wangu ni kwamba CHADEMA ijikite kwenye damu changa na siyo kuendelea kuhangaika na majina ya Viongozi waliohudumu CHADEMA Kwa muda mrefu. Hii Hali ya kuwa na Viongozi wa muda mrefu kwenye chama ndio inasababisha mgawanyiko. Maana Kuna Viongozi wengine wanajiona wao ndio Bora kwenye chama bila wao chama hakiendi, hivyo kuleta vitisho vya kuhama.

Mimi nadhani tukiwekeza kwa vijana na kuachana na haya majina makubwa hicho kiburi kitapungua. Kwa mfano kiongozi ndani ya CHADEMA anagombea cheo Fulani , asipokipata anahama chama. Hili tumeliona kwa Katibu Mkuu wa zamani Dr Mashinji aliyeondoka CHADEMA na kuhamia CCM baada ya kutoteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA. kwa Msigwa pia baada ya kuanguka uenyekiti wa Kanda ya Nyasa na hata kwa Selasini baada ya kushindwa uchaguzi wa Kanda ya Kaskazini akahamia NCCR. Hii ni hatari Sana. Hivi karibuni Wenje katangaza kugombea umakamu wenyekiti, je akianguka atabaki kwenye chama? au atahama Kama Msigwa. Je John Mnyika asipoteuliwa Tena kwenye Ukatibu Mkuu atabaki kwenye chama? Ila tungekubali kuwapa nafasi vijana ndani ya chama haya mambo ya Kiongozi kugombea nafasi kisa anataka kuhama yasingekuwepo maana anajua akiondoka wapo wengi wa kujaza nafasi yake.

Pia Kuna ujinga Fulani ndani ya CHADEMA ya kwamba kiongozi Fulani akipata ubunge anaanza kuota mapembe na kukidharau chama. Tumeona hili kwa Nassari ambaye alidiriki hata kukacha vikao vya bunge ili afukuzwe ahamie CCM, tumeona kwenye bunge la 2015 kwa akina Silinde, Lwakatare, Kubenea, nk wengi waliohama chama na kukidharau baada ya kupata ubunge, maana walijiona wao Wana majina makubwa hivyo chama kinawahitaji kuliko wao kukihitaji chama. Ila tungewekeza kwa vijana haya maujinga yasingekuwepo.

Mwisho CHADEMA imeshakuwa brand, Sasa tuiuze hiyo brand watu wailewe ili tupate vijana wengi wanachama. Tuje na strategies ya kupata vijana wengi.
Tunashukuru kwa andiko lako
Chadema imeoza sawa na sisiem

Rushwa inalitesa Taifa

Mbio za mwenge wa chadema ni kutupumbaza. Hakuna upinzani ni vikundi vya biashara.

Get rid ya wenye mazoea wasafishe chama.

Lissu Mwenyekiti tuanze naye wengine wote waendee wakalee wajukuu…

Tz ni yetu sote sio ya vijikundi vya watu.

Wale Covid 19 ni baraka za chama anayepimga ajitafakari.
 
CHADEMA inabidi kuruhusu vijana wapya wagombee nafasi kwenye uchaguzi wa 2025.
 
Mbona mtoa mada amemzungumzia nassar, au huyo muda wake haujaisha?

Nassari bado yupo active kwenye siasa. Ni Mkuu wa Wilaya,ila Lowassa alistaafu Siasa na akafariki Dunia.
 
Mlikubali ushindi wa sugu bila kujua pesa zilipotoka
Msigwa aliyehama anaweza asiwe threat kwa chama kuliko sugu aliyebaki. Amepokea rushwa, imemsaidia kuwa kiongozi mkubwa ndani ya chama. Mmekwisha

Hapana. Kwangu Mimi Sugu ni reliable kuliko Msigwa maana Msigwa ananunulika kirahisi.
 
Back
Top Bottom