Wewe unamtaka Mbowe atoke ili iweje? inakuuma nini, unataka wapewe uenyekiti sampuli ya akina Nassari, Mashinji , Katambi na Mwambe?c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu
Hicho chama hakina code ya alizetiNaomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.
Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
c
Vijana wengi wanapenda mabadiliko, lakini kwa sasa wamekosa CHAMA sahihi , chadema sahihi kipotea, mpaka Mbowe aje atoke, kitu ambacho ni kigumu
Wewe unamtaka Mbowe atoke ili iweje? inakuuma nini, unataka wapewe uenyekiti sampuli ya akina Nassari, Mashinji , Katambi na Mwambe?
Hii nafasi jamaa aone aibu ajitoe tu wala asisubiri kutolewa.Naomba nitoe ushauri Kwa chama changu Cha CHADEMA, kwamba imefika wakati tuondokane na Business as usual. Kuna Afisa mmoja wa CHADEMA anaitwa John Mrema ambaye kwa ujumla anahusika na uenezi wa chama. Huyu jamaa kusema ukweli amepwaya Sana. Yani hiyo nafasi ni kama haimfai na ni kama amelazimisnwa kufanya. Amejifungia ndani Sana, Wala hatembei kukieneza chama. Na siku akitoka kuongea anaongea pumba.
Kwanini nasema hivyo, huyu Mrema anadai CHADEMA haitajitoa kwenye uchaguzi kwasabubu mwaka 2019 CHADEMA haikushinda hata kitongoji kimoja, hivyo mwaka huu hata CHADEMA ikishinda kitongoji kimoja itakuwa ni ushindi mkubwa. Najiuliza ya kwamba mwaka 2019 CHADEMA ilijitoa kwenye uchaguzi ule ila Leo Mrema anatudanganya kwamba CHADEMA walishiriki.
Nia aibu kwa CHADEMA kuwa na Mwenezi aliyezubaa Kama huyu, ni muda kutafuta Mwenezi atakaye saidia kuleta vijana kwenye chama na kuwavutia watu kusikiliza hoja na matamko ya CHADEMA.
Hii nafasi ya uenezi mimi kama mwanachamaa wa kawaida nishailamikia san.Mbowe atoke maana uwezo wake umefikia mwisho Hana mbinu mpya kabisa, akisaidiwa na akina Mrema waliochoka
Nadhani kuna namna viongozi wa chadema wananufaika na drama zinazofanywa na ccm ktk uchaguzi. Bila hivyo tusingesikia ama kuona kauli kama hizi zikitolewa na viongozi wa chama.
Watu wanapoteza rasilimali fedha na mida halafu wanakatwa, lkn anatokea kiongozi anaongea maneno ya kuudhi kama haya?
HahahaHuwezi kumuondoa Mrema halafu ukamuacha yule Kingunge pale juu. Ni sawa na kuahirisha matatizo
Sasa aliyekufa aliye hai nani mwenye laana?Laana ya Dk Magufuli ni kali sana