Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Ni wakati wa wanachadema kumuelewa Dr. Slaa na kumuwajibisha Mbowe!

Unadhani hiyo ndo democracy ndani ya chama chenu???.
Katiba na ilani ya chama cha mapinduzi ni kupokezana vijiti kwa mwenyekiti kila baada ya awamu mbili kumalizika pia uchaguzi lazima uwepo KUONESHA mteuliwa anakubalika kwa kiasi/ asilimia ngapi!
Nyie upande wa pili uchaguzi wa mwenyekiti nadhani toka 1995 mpaka mmejisahau kabisa.
 
Kwani ni lazima awe mwanachama wa chadema ndo aweze kuchambua masuala ya chadema?
Pole sana, kwa uelewa wako mdogo nilijua unaogopa kumuandika baba jesca ukaegemea kwa Mbowe!! Sasa nikuulize Mbowe amekuwa mwenyekiti miaka mingapi? Na je katika kipindi cha uenyekiti wake amegombea urais mara ngapi? Tangu awe mwenyekiti, Chadema imepanda au imeshuka? Hayo maswali matatu utujibie tena kwa umakini.

Vile kwa ziada ni kuwa kuminya demokrasia ndani ya Chama kisichokuwa na serikali, kinachangamoto gani katika maendeleo ya Taifa, hususani uchumi, kilimo, afya, ajira, elimu na viwanda? Hivi una akili timamu kabisa kwa kuandika thread ya kipuuzi kama hiyo!!
 
Kaitikie power mkuu huelewi Nat huwezi elewa mpaka siku utakayoacha kudeki lami
Huna unalo lijua, unaambiwa juzi si mlikuwa mnamfanisha na baba Jesca, leo mnakana? Pole sana, ukajua ndio umeleta hoja, kumbe kihoja.
 
Mngetumia bunduki na mabomu kuwadhibiti? Si mngewaacha tu wajifie? CCM bila mbeleko ya polisi na NEC hamna kitu na kama unabisha hili basi wewe ni poyoyo tu.
Hakuna nchi yeyote duniani upinzani usiodhibitiwa/ usioshughulikiwa
mkuu tumia akili japo kidogo! (The same hata CHADEMA wangechukua nchi wasingewaacha ccm wafanye wanavyotaka lazima wangewabana/wadhibiti)

Upinzani ukiachwa ujiamulie na kufanya unavyotaka ndio chanzo cha uvunjifu wa amani! ( hapo kutakua na maandamano na kuikashifu serikali, mwisho upande wa chama tawala wanachama nao hawatokubali wataanzisha nao vuguvugu na fujo.)
Siasa za kisasa zinahitaji sayansi kama ya ZDF na sio kupanga vijana barabarani kwaaajili ya maandamano.
Nb. Siasa ni sehemu ya maisha ila sio maisha.
 
Dah...mleta Uzi asichokijua in kwamba....CHADEMA si chama ....ni kampuni... [emoji13] [emoji87]
 
CCM wanajua kama Chadema itaendelea kuongozwa na Mbowe haina madhara kwao na hata kama yatakuwepo ni madogo sana.

Wanajua Mbowe si mzuri kwenye mikakati ndio maana hawataki kumfanyia figisu za kisiasa ili wamwondoe. Sababu ni mmoja tu, Hawajui ukimwondoa Mbowe pale Chadema nani atakaye kuja kumrithi?

Wanajua wanaweza wakamwondoa Mbowe akaja mtu kwenye uwezo na tishio kwao kama alivyokua Dr Slaa. Ila kwa akili za Mbowe na baadhi ya wanachadema wanaamini Mbowe yupo pale kwakua ana nguvu za kisiasa na hilo sikweli.
CCM wameona bora washindane na Mbowe na Mashinji kuliko ile Chadema ya Dr Slaa, Mnyika, Zito kabwe, marehemu Chacha wangwe ile Chadema ilikua hatari zaidi kwa CCM kuliko hii ya Mbowe, Mashinji, Msigwa na Lema.
Kwa aina ya watu waliopo Chadema kwa sasa ninafuu sana kwa CCM kuliko kipindi cha nyuma. Ndio maana unakuta wakina Makamba, Mwigulu, Kinana na wengine Nyota wa CCM katika siasa wametulia na mudamwingine watu wanawaulizia humu jukwaani.

Ni kwasababu ndugu Polepole anaimudu bila shaka Chadema ya sasa.
Angalia NCCR na CUF za kipindi kile zilivyokua hatari kwa CCM, Uhatari wa ivyo vyama kwa CCM Ndio umepelekea visambaratishwe ki mkakati.
Kwa nionavyo Mbowe kwakua hana Sumu katika siasa za Sasa basi CCM wataendelea kufurahia uwepowake mbaka pale Chadema watakapo stuka.
 
Huna unalo lijua, unaambiwa juzi si mlikuwa mnamfanisha na baba Jesca, leo mnakana? Pole sana, ukajua ndio umeleta hoja, kumbe kihoja.
Ok show hoja tuanzie hapo Lowasa alipitishwa kwa utaratibu wa kura gani kugombea u rais kupitia chadema?

Zitto na chacha wangwe kwa nn walifukuzwa chadema?

Katiba ya Zimbabwe haina ukomo wa kugombea uongozi je katiba ya chadema ina ukomo wa kugombea uongozi? Karibu kwa mjadala
 
CCM imejifunza kuwa ukomo wa muda wa madaraka kwa vipindi maalum nila msingi sana vp Mbowe kajifunza nn kwa mugabe ambae hakukua na ukomo wa kugombea kama ilivyo chadema?
mbowe kagombea mara ngapi urais? CCM inatawala kwa hila toka mwaka gani?
 
mbowe kagombea mara ngapi urais? CCM inatawala kwa hila toka mwaka gani?
Mbowe kagombea toka 2004 uenyekiti chadema CCM inapewa rid has na wananchi toka uchaguzi wa vyama vigil 1995 hebu tueleze katika chaguzi toka 1995 up in zaniness lini wamewazidi CCM wenyeviti wa vitongoji nchi nzima wamezidi wenyevit wa vijiji nchi nzima wamezidi madiwani nchi nzima takin yaw tathmin kwa hayo tutajua kweli wana hila
 
Ni wehu tu kufikiri kuondoka madarakani kwa mbowe ni ishu ya CCM, kwahiyo wanachama wenyewe hawana akili za kutafakari siyo? Alafu unafikiri CCM ikiamua kuingilia hilo suala la kumng'oa Mbowe uenyekiti kwa hila zote inaweza kushindwa? CCM hawajataka na sidhani kama wametaka alafu ikashindikana. Tambua nafasi iliyonayo CCM katika nchi hii na uelewe unapoongelea CCM Tz kwa ujumla unaongelea historia ya nchi hii, serikali za hawamu zote tano na vyombo vyake. So, jitafakarini upya na chama chenu wenyewe.
 
Mwenyekiti Mbowe atupe sababu ya kwa nini wanachadema wanahama na sio kutubabaisha na porojo za watu kuhongwa kama ilivyokuwa kwa madiwani...Masha hajahongwa ameamua kidemokrasia kabisa hata katibu Mashinji amekiri hivyo.

Ukichunguza kwa makini utagundua wanaohama ni wanaCCM na si wanaCHADEMA
 
Sasa nyie Green Guards wa CCM mbona mmemshabikia sana Mbowe! Ni wazi amekuwa kikwazo kwenu.
 
Mbowe kagombea toka 2004 uenyekiti chadema CCM inapewa rid has na wananchi toka uchaguzi wa vyama vigil 1995 hebu tueleze katika chaguzi toka 1995 up in zaniness lini wamewazidi CCM wenyeviti wa vitongoji nchi nzima wamezidi wenyevit wa vijiji nchi nzima wamezidi madiwani nchi nzima takin yaw tathmin kwa hayo tutajua kweli wana hila
we kweli zuzu.sasa nafasi ya mwenyekiti wa chadema ina uhusiano upi na nafasi ya mgombea urais wa nchi?
CCM inasaudiwa na serikali kuingia madarakani . imechokwa nchi nzima
 
Ukisema utaitwa mwanaCCM...HATUWEZI KUWA NA TANZANIA MPYA CHINI YA MAKAPI YA ZAMANI KUTOKA CCM NDANI YA CHADEMA
Umeongea vizuri sana, kuna watu wengi sana tunabaki njia panda, nia hasa tunahitaji mabadiliko na upinzani wa kweli kama alioupigania Dr. Slaa. Lakini kwa mwenendo huu wa kupokea makapi kila kukicha, hata tofauti ya CCM na CHADEMA haipo, nashauri hii chadema igawanyike mara mbili, iwepo ya Mbowe na Chadema halisi ya kina lissu, slaa, mchungaji, mnyika, mdee nk hii ya Mbowe hamna kitu, ukweli utawauma lakini that's a FACT
 
Kushika majiji yote ilikuwa ni "pi" kwa kuwa kazi kubwa sana ilifanywa na Slaa na wanachadema asilia.2015 ilikuwa ni zaidi ya majiji kama ushauri wa Slaa ungefuatwa.

Opportunity iliyopotea 2015 inabadilika na kuwa kaburi la Chadema.

Rudisheni kwanza kura Mlizoiba then ndiyo muanze zungumzia anguko la CHADEMA...........
 
Back
Top Bottom