Ni wakati wa wanafunzi kujifunza kuhusu Yanga mashuleni kama somo

Ni wakati wa wanafunzi kujifunza kuhusu Yanga mashuleni kama somo

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaaaam wana JF,

Nimekua kwenye tafakuri nzito ndani ya wiki hii kwenye suala la michezo ambayo kwa kiasi kikubwa inazidi kuteka hisia duniani na kufanikiwa kuiangusha tasnia ya muziki.

Ili kuleta maendeleo makubwa kwenye tasnia ya michezo ni lazima serikali kufanya mapinduzi makubwa kwenye mitaala ya elimu ambapo somo la YANGA lazima lianzishwe kwa faida zifuatazwo;

1. Somo la YANGA lita inspire wanafunzi wengi kupenda soka na kupunguza uhaba wa vijana wasio na ajira

2. Litafanikiwa kuijenga timu ya taifa kutokana na kuiga timu ya YANGA inavyocheza kwa nidhamu bila kutegemea kadi nyekundu waka penalt

Ongezea sababu zingine why YANGA ianze kufundishwa mshulen kama somo

GENTAMYCINE
ChamasonMorisonBwalyason
Scars


JamiiForums-1940867512.jpg


okwi boban sunzu

NAWATAFUNA
 
Back
Top Bottom