sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Haiingii akilini keki ya Zanzibar ni kwajili ya wazanzibari pekee ila keki ya huku bara Wazanzibari nao wana hila, yani chao ni chao peke yao ila chetu ni chao.
Yani huko Zanzibar uongozi kuanzia uraisi, mahakamu wa rais, wakurugenzi wa mashirika, teuzi, n.k ni wao tu ila ukija huku si ajabu kumkuta mzanzibar ni wazirri, mkurugenzi au mkuu wa shirika flani, n.k
Hata kwenye ajira za kawaida hizi za udaktari, uhandisi, uhasibu, ualimu, n.k huko kwao hizi ajira ni kwajili yao ila ukija huku wapo kibao kwene idara tofauti.
Sijui ni nini hiki.
Mwalimu nae alikuwa ni mtu tu kama wengine na sio kila kitu alichofanya kiwe kama msaafu, kiukweli kuna vitu ni lazima vibadilike.
Yani huko Zanzibar uongozi kuanzia uraisi, mahakamu wa rais, wakurugenzi wa mashirika, teuzi, n.k ni wao tu ila ukija huku si ajabu kumkuta mzanzibar ni wazirri, mkurugenzi au mkuu wa shirika flani, n.k
Hata kwenye ajira za kawaida hizi za udaktari, uhandisi, uhasibu, ualimu, n.k huko kwao hizi ajira ni kwajili yao ila ukija huku wapo kibao kwene idara tofauti.
Sijui ni nini hiki.
Mwalimu nae alikuwa ni mtu tu kama wengine na sio kila kitu alichofanya kiwe kama msaafu, kiukweli kuna vitu ni lazima vibadilike.