Ni wakati wa Watanzania Bara kuanza kuteuliwa Zanzibar

Ni wakati wa Watanzania Bara kuanza kuteuliwa Zanzibar

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Haiingii akilini keki ya Zanzibar ni kwajili ya wazanzibari pekee ila keki ya huku bara Wazanzibari nao wana hila, yani chao ni chao peke yao ila chetu ni chao.

Yani huko Zanzibar uongozi kuanzia uraisi, mahakamu wa rais, wakurugenzi wa mashirika, teuzi, n.k ni wao tu ila ukija huku si ajabu kumkuta mzanzibar ni wazirri, mkurugenzi au mkuu wa shirika flani, n.k

Hata kwenye ajira za kawaida hizi za udaktari, uhandisi, uhasibu, ualimu, n.k huko kwao hizi ajira ni kwajili yao ila ukija huku wapo kibao kwene idara tofauti.

Sijui ni nini hiki.

Mwalimu nae alikuwa ni mtu tu kama wengine na sio kila kitu alichofanya kiwe kama msaafu, kiukweli kuna vitu ni lazima vibadilike.
 
Hivi ni lini Zanzibar itajitangazia uhuru wake kamili na kujitegemea kwa 100%?

Mimi naona kama huu Muungano unawapendelea zaidi kuliko sisi! Haiwezekani tuna nchi ya Tanzania na Zanzibar, huku Tanganyika ikiwa haijulikani ilipo!
 
Kinachotakiwa kufanyika ni zanzibar kupewa hadhi ya mkoa, maana kwa population yake nafikiri inaweza kulingana na baadhi ya wilaya huku bara, vinginevyo katiba itamke waziwazi kabisa kwamba rais wa Tanzania asiwe Mzanzibar ili ku maintain maslahi ya eneo kubwa la nchi.
 
Kinachotakiwa kufanyika ni zanzibar kupewa hadhi ya mkoa, maana kwa population yake nafikiri inaweza kulingana na baadhi ya wilaya huku bara, vinginevyo katiba itamke waziwazi kabisa kwamba rais wa Tanzania asiwe mzanzibar ili ku maintain maslahi ya eneo kubwa la nchi.
Zanzibâr itakuwaje mkoa wakati ni nchi?
 
Hesabu Muungano sisi bara tunafaid hasa linapo Kuja suala la kimataifa, Kama misaada,mikopo ndo tunafaid, ila kwa masula ya ndani dah tunapigwa.
 
Ndo nimeandika hapo, kama wanataka ku maintain a semi-autonomous status basi wasilazimishe nafasi za juu kwenye uongozi wa dola la Tanzania, wao wabaki kuwa na rais wa zanzibar ambaye atakuwa mjumbe wa baraza la mawaziri la Tanzania.....
Kwanini iwe hivyo ..tunaepusha kitu gani na kwa faida IPI?
 
Wa zenji wana jiachia tu sahivi ona huyu bara amna viongozi kwani .
Screenshot_20211012-111630_InstaPro%20.jpg
 
Kinachotakiwa kufanyika ni zanzibar kupewa hadhi ya mkoa, maana kwa population yake nafikiri inaweza kulingana na baadhi ya wilaya huku bara......vinginevyo katiba itamke waziwazi kabisa kwamba rais wa Tanzania asiwe mzanzibar ili ku maintain maslahi ya eneo kubwa la nchi......
Nikijua Zanzibar kuna mikoa mingapi na.wilaya ngapi mkuu nitakurahisishia sana hisabati zako, fanya Tafiti unirudie nikupe alternative nzuri kabisa. Una point

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom