Ni wakati wanasheria kuelekeza nguvu mahakamani kupinga mchakato uliompitisha Samia kugombea kiti cha uraisi 2025

Ni wakati wanasheria kuelekeza nguvu mahakamani kupinga mchakato uliompitisha Samia kugombea kiti cha uraisi 2025

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
 

Attachments

  • Screenshot_2025-02-20-18-47-01-309_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2025-02-20-18-47-01-309_com.twitter.android.jpg
    296.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2025-02-20-18-46-52-842_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2025-02-20-18-46-52-842_com.twitter.android.jpg
    279.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_2025-02-20-18-47-01-309_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2025-02-20-18-47-01-309_com.twitter.android.jpg
    296.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_2025-02-20-18-46-52-842_com.twitter.android.jpg
    Screenshot_2025-02-20-18-46-52-842_com.twitter.android.jpg
    279.3 KB · Views: 1
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Alitakiwa asome alama za nyakati kuwa hakubaliki
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Nchini kwenu Rwanda ,jenerali PK ni kotapini....

Afadhali ya hapa Tanzania yenye amani ,utulivu , demokrasia ,bila ya ubaguzi wa kabila ,dini wala kanda......

#JMT milele
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Kubali matokeo, Ccm ipo ukingoni hivyo imekuwa kama Sikio la kufa ambalo halisikii dawa.
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Katiba ya JMT ama iliyovunjwa ni katiba ya CCM ?!!

Hao wanasheria wako watakuwa wanawashwa na mambo ya ndani ya chama cha watu ?!!

Watu ambao ni wanachama wamekubaliana kumsimamisha mh.Rais kuwa mgombea wao......

Mh.Rais Samia hajajiongezea muda wa urais....usiwe mjinga...
 
Hawa wanaleta aibu wenyewe mambo ya chadema wanafuatilia yao wanayaacha sasa msajili atende haki kote Ccm wamekiuka haki ya uchaguzi
 
Samia amepitishwa na Chama chake kugombea hajapitishwa na watanzania wote,kwani umewahi kufuatilia mchakato unaompitisha Lipumba kuwa mgombea wa kudumu tangu 1995?
 
Katiba ya JMT ama iliyovunjwa ni katiba ya CCM ?!!

Hao wanasheria wako watakuwa wanawashwa na mambo ya ndani ya chama cha watu ?!!

Watu ambao ni wanachama wamekubaliana kumsimamisha mh.Rais kuwa mgombea wao......

Mh.Rais Samia hajajiongezea muda wa urais....usiwe mjinga...
Soma vizuri uelewe mkuu ibara ya 38 ya katiba ya jamhuri. Ya muungano wa tanzania na pia ccm siyo mali ya raisi
 
Soma vizuri uelewe mkuu ibara ya 38 ya katiba ya jamhuri. Ya muungano wa tanzania na pia ccm siyo mali ya raisi
Ila Rwanda ni mali ya PK si ndio ee?!!

CCM ni chama cha kipekee duniani.....tuna heshima kubwa mno kwa kiongozi mkuu wa chama na rais wetu....

Hushangai ni kwanini hatuzitenganishi hizo kofia mbili ?!!

Maamuzi ya mkutano mkuu wa CCM yanavunjaje katiba ya JMT?!!
 
Back
Top Bottom