Ni wakati wanasheria kuelekeza nguvu mahakamani kupinga mchakato uliompitisha Samia kugombea kiti cha uraisi 2025

Ni wakati wanasheria kuelekeza nguvu mahakamani kupinga mchakato uliompitisha Samia kugombea kiti cha uraisi 2025

...kaa kwa kutulia wewe kuruta wa JKT....

Hapo Rufiji Selous huoni mwendelezo wa ukamilishaji wa bwawa la kuzalisha umeme....hayati JPM aliwapa ARAB CONTRACTORS trilioni 2 tu huku ujenzi unahitaji trilioni 6.5.... ARAB CONTRACTORS wanamshukuru sana mh.Rais Samia kwa kuendeleza alichokianzisha JPM kwa kupatiwa fedha yote iliyobaki kwani nchi nyingine anapokufa kiongozi mwanzilishi wa mradi hujifia tu wenyewe baadaye......
Upumbavu ni kudhani hela zinatoka mfukoni kwa mama samia hela ni za watanzania. Hivi mtaacha lini propaganda za kijinga ?...Project gani ilikufa sababu kiongozi alikufa ?... Tukitengeneza project huwa tunaweka milestones na kwakuweka milestones huwa tunaweza kukadiria budget kusema hiyo project kwa milestones zake ilionekana unaweza cost 1.5B alafu baadae inaonekana kuna upungufu wa 5B basi hawa watu walioandika huu mradi ni wajinga na ndio mana tunataka vitu vingine vibadilike, we unaona sifa hela kuongezwa hujui kama kuna jinga moja na wenzake ambao walipitia project writeup wakaipitisha kwa hela ambayo haifiki hata nusu ya gharama yote na ikaenda mpaka ikulu Ambayo huyu mama alikuwepo ikasomwa ikapigwa sahihi ikarud field hela ikatoka, sasa hela haitoshi imeongezwa unakuja kumsifia mtu ambaye alikuwepo kwenye kupitisha ya kwanza na ikaonekana inafaa, wakuu kwani mna matatizo gani kichwani ?... Ndio vitu mnavyosimuliana kwenye magroup yenu ya WhatsApp ili mje mvisambaze kwenye social media ?
 
Upumbavu ni kudhani hela zinatoka mfukoni kwa mama samia hela ni za watanzania. Hivi mtaacha mini propaganda za kijinga ?...Project gani ilikufa sababu kiongozi alikufa ?... Tukitengeneza project huwa tunaweka milestones na kwakuweka milestones huwa tunaweza kukadiria budget kusema hiyo project kwa milestones zake ilionekana unaweza cost 1.5B alafu baadae inaonekana kuna upungufu wa 5B basi hawa watu aliondoka huu mradi ni wajinga na ndio mana tunataka vitu vitu vingine vibadilike, we unaona sifa hela kuongezwa hujui kama kuna jinga moja na wenzake ambao walipitia project writeup wakaipitisha kwa hela ambayo haifiki hata nusu ya gharama yote na ikaenda mpaka ikulu Ambayo huyu mama alikuwepo ikasomwa itapigwa sahihi ikarud field hela ikatoka, sasa hela haitoshi imeongezwa unakuja kumsifia mtu ambaye alikuwepo kwenye kupitisha ya kwanza na inaonekana inapaa, wakuu kwani man matatizo gani kichwani ?...
......wataalamu wanapoanda milestones hizo....waziri wa fedha huziweka mezani mwa baraza la mawaziri kujadiliwa.... mwenyekiti wa kikao hicho adhimu huwa "chief comforter of the nation"....

Ana washauri wengi mno zaidi ya hao wa waziri husika....akiamua kutofanya "endorsement" basi mradi huo HUJIFIA wenyewe.....

Unamuondoaje Rais wa nchi katika kuzitoa FEDHA hizo nyingi za dola la Tanzania ?!!

#Think Thrice !
 
Mbona Msajili wa vyama amekaa kimiya sana katika sakatahili?

Naamini ingekuwa ni CHADEMA ndio kafanya hivyo nadhani angekifuta Chama
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Itakua ni kujifedhehesha wenyewe ati wanasheria kuleta kimbelembele kujaribu kupotosha mchakato halali ulioamuliwa na chama cha siasa na kuufanya eti haukua sahihi,

watakao thubutu kufanya hivyo wanaweza kua wanasheria fake kama yule mzee wa huko arusha aliedai kua ni kada wa CCM, hali ya kua inafahamika ni mwanachama wa CCK na alishawahi kugombea urasi kupitia chama hicho uchaguzi ulopita,🐒
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Jitokeze adharani useme ivo
 
......wataalamu wanapoanda milestones hizo....waziri wa fedha huziweka mezani mwa baraza la mawaziri kujadiliwa.... mwenyekiti wa kikao hicho adhimu huwa "chief comforter of the nation"....

Ana washauri wengi mno zaidi ya hao wa waziri husika....akiamua kutofanya "endorsement" basi mradi huo HUJIFIA wenyewe.....

Unamuondoaje Rais wa nchi katika kuzitoa FEDHA hizo nyingi za dola la Tanzania ?!!

#Think Thrice !
Ebu tumia akili basi, yani ni kama anafanya hivyo vitu kwa kuhurumia watu na hela ni zake , hela sio zake, kama project iko mezani na ina milestone na ikaonekana kuna shortcomings inatakiwa hela itolewe inabidi to aidhinishe zitoke kwa mamlaka alopewa na wananchi na sio kwa huruma yake binafsi, Ila nyinyi mnavyosifia utadhani kama huyu maza asingekuwepo tungekuwa waTz wote tumekufa, ndio mana watu wanataka taasisi ya uraisi iwe imara na Ambayo inaweza kuwa answerable kama blunder inatokea ili kuongeza uwajibikaji, we mwenyewe umesema project imeenda kwa 6B, Ila mara ya kwanza ilitoka 1B, kwahiyo wakina Mama samia walikosea budget estimate wamejirekebisha unasifia , unasifia correction ? How comes ?
 
.... wapumbavu kabisa....wanaburuzwa na mjinga Maria S.....
Hivi huyo samia mnayemshabikia amefanya nini hivi ukiwa ccm kika kitu ni ndiyo uwezo wa kupambanua mambo huwa hamna , ccm imefikia ukiwa na cheo cha juu unaabudiwa hata kama unavunja sheria , upuuzi mtupu mwaka huu hatutaki raisi anayejichagua nabkujitangaza kwa kutumia tume aliyoteua mwenyewe, kaanza kuwashughulikia ndani ya ccm sasa umma umekataa
 
Hivi huyo samia mnayemshabikia amefanya nini hivi ukiwa ccm kika kitu ni ndiyo uwezo wa kupambanua mambo huwa hamna , ccm imefikia ukiwa na cheo cha juu unaabudiwa hata kama unavunja sheria , upuuzi mtupu mwaka huu hatutaki raisi anayejichagua nabkujitangaza kwa kutumia tume aliyoteua mwenyewe, kaanza kuwashughulikia ndani ya ccm sasa umma umekataa
Kuandika vyema tu kinakuwa ni kipengele kwako ,unapata wapi "guts" za kumkosoa chief comforter of the beloved nation her Excellency Hon.Samia Suluhu Hassan ?!!

Huko tunakofanyia IBADA za kumuabudu ni kanisani ,msikitini ,mizimuni ama vilingeni?!!

Hide your stupidity if you got irrelevant thoughts rather than spewing non-sense in the civilized public....

#URT for ever !!
 
Ndio ulifuatwa.....

MK uliridhia Mh.Rais Samia agombee muhula ujao....

Unaandamana dhidi ya MERITS za mkutano mkuu wa CCM ?!! Khaaaaaa
Hata wewe mwenyewe unaona aibu kwa jibu lako. Hii ni kwasababu ukweli wote unaufahamu. Ni lini alijaza fomu ya kuomba nafasi hiyo?? Kibajaji alijaribu kutoa wazo lkn halikupata nafasi. Nafikiri unafahamu fika nn M/K alijibu. Nani angepinga apotezwe??

Sasa Kiongozi anapoamua kuweka pembeni Katiba ya chama chake, vipi Katiba ya nchi?? Watz siyo wajinga.
 
Hata wewe mwenyewe unaona aibu kwa jibu lako. Hii ni kwasababu ukweli wote unaufahamu. Ni lini alijaza fomu ya kuomba nafasi hiyo?? Kibajaji alijaribu kutoa wazo lkn halikupata nafasi. Nafikiri unafahamu fika nn M/K alijibu. Nani angepinga apotezwe??

Sasa Kiongozi anapoamua kuweka pembeni Katiba ya chama chake, vipi Katiba ya nchi?? Watz siyo wajinga.
Wewe unafanya kazi makao makuu ya CCM taifa pale WH ?!!

Umeamua kuja kuongopa hapa kuwa mh.mwenyekiti taifa hakuja ofisini kwenu kuomba na kujaza hiyo fomu ?!!
 
Ebu tumia akili basi, yani ni kama anafanya hivyo vitu kwa kuhurumia watu na hela ni zake , hela sio zake, kama project iko mezani na ina milestone na ikaonekana kuna shortcomings inatakiwa hela itolewe inabidi to aidhinishe zitoke kwa mamlaka alopewa na wananchi na sio kwa huruma yake binafsi, Ila nyinyi mnavyosifia utadhani kama huyu maza asingekuwepo tungekuwa waTz wote tumekufa, ndio mana watu wanataka taasisi ya uraisi iwe imara na Ambayo inaweza kuwa answerable kama blunder inatokea ili kuongeza uwajibikaji, we mwenyewe umesema project imeenda kwa 6B, Ila mara ya kwanza ilitoka 1B, kwahiyo wakina Mama samia walikosea budget estimate wamejirekebisha unasifia , unasifia correction ? How comes ?
Si "B" ni "T" mkuu wangu.....

Wapi nimeandika anatoa fedha kwa kutuhurumia ?!!
Nilichokiandika ni yeye kusimamia WAJIBU wake as a chief comforter of the nation .....nasi wananchi wenye ujamaa wa kiafrika tuna DHIMA ya kumpongeza kwa uzalendo wake huo wa ujamaa wa kiafrika.....

Amka mzee!
 
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
MAHAKAMA NI MHIMILI WA CCM MAJAJI WOTE ANACHAGUA HUYO MAMA UBATAGEMEA KUPATA HAKI?
 
Si "B" ni "T" mkuu wangu.....

Wapi nimeandika anatoa fedha kwa kutuhurumia ?!!
Nilichokiandika ni yeye kusimamia WAJIBU wake as a chief comforter of the nation .....nasi wananchi wenye ujamaa wa kiafrika tuna DHIMA ya kumpongeza kwa uzalendo wake huo wa ujamaa wa kiafrika.....

Amka mzee!
Okay ni T, kwahiyo mkuu me nimelala we umeamka na hujaona tatizo kubwa la kimahesabu lililokuwepo kwenye huo mradi ?
 
Back
Top Bottom