antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Ujiga?Ujiga ni mzigo.
Ulienda shuleni kusomea nini vile?!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujiga?Ujiga ni mzigo.
....hilo halielewi....Samia amepitishwa na Chama chake kugombea hajapitishwa na watanzania wote,kwani umewahi kufuatilia mchakato unaompitisha Lipumba kuwa mgombea wa kudumu tangu 1995?
Shileni?!!Ujiga?
Ulienda shileni kusomea nini vile?!!
Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Ujiga ni mzigo.
Hata wewe ukitaka jichague tu uwe mgombeaNchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Tanzania si ya CCM bali watanzania tumeamua kuongozwa na CCM....Tanzania hii ya CCM ni aibu
Wapi ,kwao Kigali ?Hata wewe ukitaka jichague tu uwe mgombea
Upumbavu mtupu kwani hela ni zake huyu mama maendeleo gani kaleta. Goli la Mama ama?Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
...kaa kwa kutulia wewe kuruta wa JKT....Upumbavu mtupu kwani hela ni zake huyu mama maendeleo gani kaleta. Goli la Mama ama?
Mwenyekiti wake Taifa kutumia Mamlaka yake ya Urais kuwapora haki ya kuchagua/kuchaguliwa Wanachama wengine wa CCM.Ila Rwanda ni mali ya PK si ndio ee?!!
CCM ni chama cha kipekee duniani.....tuna heshima kubwa mno kwa kiongozi mkuu wa chama na rais wetu....
Hushangai ni kwanini hatuzitenganishi hizo kofia mbili ?!!
Maamuzi ya mkutano mkuu wa CCM yanavunjaje katiba ya JMT?!!
Akili zao zimeshikwa na Maria Sarungi.Katiba ya JMT ama iliyovunjwa ni katiba ya CCM ?!!
Hao wanasheria wako watakuwa wanawashwa na mambo ya ndani ya chama cha watu ?!!
Watu ambao ni wanachama wamekubaliana kumsimamisha mh.Rais kuwa mgombea wao......
Mh.Rais Samia hajajiongezea muda wa urais....usiwe mjinga...
Kwa yanayoendelea hii nchi ni mali ya CCMTanzania si ya CCM bali watanzania tumeamua kuongozwa na CCM....
Acha porojo zako. Mchakato wa kumpata Mgombea Urais ulifuatwa ndani ya chama??...kaa kwa kutulia wewe kuruta wa JKT....
Hapo Rufiji Selous huoni mwendelezo wa ukamilishaji wa bwawa la kuzalisha umeme....hayati JPM aliwapa ARAB CONTRACTORS trilioni 2 tu huku ujenzi unahitaji trilioni 6.5.... ARAB CONTRACTORS wanamshukuru sana mh.Rais Samia kwa kuendeleza alichokianzisha JPM kwa kupatiwa fedha yote iliyobaki kwani nchi nyingine anapokufa kiongozi mwanzilishi wa mradi hujifia tu wenyewe baadaye......
...hawana fikra za kujua huyo Maria Sarungi anawatia "chaka"....ha ha ha haAkili zao zimeshikwa na Maria Sarungi.
Hata wewe unaruhusiwa na una haki ya kuajiri Wakili na kufungua kesi. Usisubiri wengine wafanye. Anza wewe.Nchi yetu hatuwezi kuwa na viongozi wanaojichagua kuongoza nchi kwa kuvunja katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania, sasa ni wakati wazalendo na wanasheria wote nchini kwenda mahakamani kupinga mchakato mzima ulifanyika tarehe 19/01/2025 wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kujiteua mwenyewe kugombea kiti cha uraisi mwaka huu 2025
Hili sisi kama watanzania tunalipinga kwa nguvu zote na halikubaliki kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya muungano wa tanzania ,👇👇👇wajuzi someni muelewe jinsi katiba inavyokanyagwa na kuwekewa matope mazito.
Sasa mtu na akili zako unashindwa kuelewa kama mkutano mkuu ndio chombo cha mwisho kwenye katiba ya ccm, na wenyewe wameamuwa kwa kauli moja unawapinga vipi?...hawana fikra za kujua huyo Maria Sarungi anawatia "chaka"....ha ha ha ha
Ndio ulifuatwa.....Acha porojo zako. Mchakato wa kumpata Mgombea Urais ulifuatwa ndani ya chama??
.... wapumbavu kabisa....wanaburuzwa na mjinga Maria S.....Sasa mtu na akili zako unashindwa kuelewa kama mkutano mkuu ndio chombo cha mwisho kwenye katiba ya ccm, na wenyewe wameamuwa kwa kauli moja unawapinga vipi?
Kuna wajinga wanapenda kujizima data, Samia ndio mwenyekiti wa ccm, nani mwenye jeuri ya kumtikisa huko ccm?