Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Inaitwaje?Moja tu nanunuaga kwa mbinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwaje?Moja tu nanunuaga kwa mbinde
si ndio hapo sasa,utamtofautishaje na dada zetu ?Aisee wakati buku mbili au tatu unanyoa safi tu yeye hiyo 30000 yote ya nini?
Mimi hata moja sina
Na nikiwa nayo yaweza kaa miezi hata 4
Deodorant kwangu yatosha
Huyu mleta mada naona ameamua kunianzishia thread haki...... Maana sio meno haya yalivyo ya njano....tehteehh[emoji3][emoji3]
Sidhani kama utapata mchafu
Wanaume wa sayari ya jf wote wasafi
Inaitwaje?
Vizuri sanaNina furaha siku zote mda wote
Mwanaume utakuwaje mchafu kwa mfano!?Wewe Nina ukakasi na uanamume wako isije ikawa unatumia ile njia ya tatu?
Hivyo vitu vyote vya nini?
Mkuu, minavaaga boksa moja hadi siku 7 bila kubadilisha....[emoji85] [emoji85] [emoji85]Hapo sasa hakuna atakae taka kuonekana ni mchafu! wote wasafi
Utakuwa umezoea saluni za 1500 mbagalanywele mwanaume unagharamia 30000 kwa mwezi
Makonda njoo chukua list yako ipo huku
Asante sanaVizuri sana
Anaenda barbershop zaidi ya mara mbili kwa mwezi si unajua bei za barbershop za town kuna mambo mengi mengiAisee wakati buku mbili au tatu unanyoa safi tu yeye hiyo 30000 yote ya nini?
Huyu inabidi tumtengebezee hoja kwa kwelisi ndio hapo sasa,utamtofautishaje na dada zetu ?
maana wao kusuka tu 25000
Unataka uwe na harufu moja kama bangi ukipita watu wanajua ni wewe hata kama hawajakuona?!Duuh mimi pamoja na kuwa mwanamke mbona kuna mengine yananihusu..perfume tatu? What for?
Mkuu unaniuliza Mimi ama?Mwanaume utakuwaje mchafu kwa mfano!?
Duh kweli mkuuMkuu, minavaaga boksa moja hadi siku 7 bila kubadilisha....[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mm wa kwanza.Hivi ulivyotaja hapa walio navyo hawazidi 20.
Sabuni tu za kuongea wanatumia B29 za sh 300 zile tunaosheaga vyombo.
Povu...karibu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sijazungumzia kuhusu kunyoa,ni kuhusu kutunza nyweli ndio maana ulipata dv 0[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aisee wakati buku mbili au tatu unanyoa safi tu yeye hiyo 30000 yote ya nini?