Pre GE2025 Vijana Tanzania wanaweza kubeti, kushabikia Simba na Yanga na Uchawa kwisha habari!

Pre GE2025 Vijana Tanzania wanaweza kubeti, kushabikia Simba na Yanga na Uchawa kwisha habari!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Wakuu asalaam aleykum!

Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana, katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu; kuanzia kufikiria kibunifu, kutekeleza mipango, nk. Mfano enzi ya akina Mwlm. Julius Kambalage Nyerere, Warioba, nk.

Lakini pia nchi zilizoendelea, gunduzi nyingi, biashara pamoja na makampuni makubwa yanasimamiwa na vijana. Vijana wa Tanzania wanaweza Uchambuzi wa sofa tuu na kubeti.

Njaa imepanda kutoka tumboni hadi kichwani, hawajui wala hawaangalii lolote zaidi wamebaki kuunga mkono tabaka fulani kwa kujipendekeza/uchawa.

Leo nimemsikia mmoja anaitwa Mwijaku anajinadi yeye ni gen Z, nadhani anajifananisha na Gen Z wa Kenya, kwa ufupi IQ ya vijana wa Gen Z wa Kenya sidhani kama unaweza linganisha na wa Tanzania Hawa wa kwetu wanasubiri matamasha ya Kizimkazi, Simba na Yanga, na kumaliza bando kuangalia harusi ya Azziz k.

Aibu aibu aibu.
 
Wakuu asalaam aleykum!

Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana...katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu...kuanzia kufikiria kibunifu...kutekeleza mipango nk

Mfano enzi ya akina Mwlm.Julius Kambalage Nyerere,Warioba nk

Lakini pia nchi zilizoendelea,gunduzi nyingi,biashara pamoja na makampuni makubwa yanasimamiwa na vijana

Vijana wa Tanzania wanaweza Uchambuzi wa sofa tuu na kubeti

Njaa imepanda kutoka tumboni hadi kichwani,hawajui wala hawaangalii lolote zaidi wamebaki kuunga mkono tabaka fulani kwa kujipendekeza/uchawa

Leo nimemsikia mmoja anaitwa Mwijaku anajinadi yeye ni gen Z,nadhani anajifananisha na Gen Z wa Kenya,kwa ufupi IQ ya vijana wa Gen Z wa Kenya sidhani kama unaweza linganisha na wa Tanzania
Hawa wa kwetu wanasubiri matamasha ya Kizimkazi,Simba na Yanga,na kumaliza bando kuangalia harusi ya Azziz k

Aibu aibu aibu
Dah umeongea kwa hisia kweli.
 
Wakuu asalaam aleykum!

Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana...katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu...kuanzia kufikiria kibunifu...kutekeleza mipango nk

Mfano enzi ya akina Mwlm.Julius Kambalage Nyerere,Warioba nk

Lakini pia nchi zilizoendelea,gunduzi nyingi,biashara pamoja na makampuni makubwa yanasimamiwa na vijana

Vijana wa Tanzania wanaweza Uchambuzi wa sofa tuu na kubeti

Njaa imepanda kutoka tumboni hadi kichwani,hawajui wala hawaangalii lolote zaidi wamebaki kuunga mkono tabaka fulani kwa kujipendekeza/uchawa

Leo nimemsikia mmoja anaitwa Mwijaku anajinadi yeye ni gen Z,nadhani anajifananisha na Gen Z wa Kenya,kwa ufupi IQ ya vijana wa Gen Z wa Kenya sidhani kama unaweza linganisha na wa Tanzania
Hawa wa kwetu wanasubiri matamasha ya Kizimkazi,Simba na Yanga,na kumaliza bando kuangalia harusi ya Azziz k

Aibu aibu aibu
Sasa hao ndo uwaambie wakaandamane kuzuia uchaguzi...
 
Wakuu asalaam aleykum!

Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana...katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu...kuanzia kufikiria kibunifu...kutekeleza mipango nk

Mfano enzi ya akina Mwlm.Julius Kambalage Nyerere,Warioba nk

Lakini pia nchi zilizoendelea,gunduzi nyingi,biashara pamoja na makampuni makubwa yanasimamiwa na vijana

Vijana wa Tanzania wanaweza Uchambuzi wa sofa tuu na kubeti

Njaa imepanda kutoka tumboni hadi kichwani,hawajui wala hawaangalii lolote zaidi wamebaki kuunga mkono tabaka fulani kwa kujipendekeza/uchawa

Leo nimemsikia mmoja anaitwa Mwijaku anajinadi yeye ni gen Z,nadhani anajifananisha na Gen Z wa Kenya,kwa ufupi IQ ya vijana wa Gen Z wa Kenya sidhani kama unaweza linganisha na wa Tanzania
Hawa wa kwetu wanasubiri matamasha ya Kizimkazi,Simba na Yanga,na kumaliza bando kuangalia harusi ya Azziz k

Aibu aibu aibu
makamu mwenyekit wa chadema ni adict wa kubet,
ana stress kama zote ukimtazama kama hakuwahi kua mbunge, muhindi kampiga pension yake yote kiasi kwamba haamini kama hata hana mia sasa hivi, ni mtu wa vizinga tu :pedroP:
 
Unashauri nini?
Tupambane na watoto wadogo hawa wa shuleni...tuwafundishe kujiamini,tuondoe namna zozote zinazo wanyongonyeza na kuwafanya wasijiamini...mfano mzuri tuwe sisi kama jinsi wazazi wa Kenya walivyojitoa muhanga kwa lolote ili wapate katiba nzuri na mustakabali mzuri wa nchi yao,basi matunda ndo yakawa Gen Z,watoto walijifunza kwa wazazi
 
Uchawa mmbaya sana
Bwasheh...
Vijana sahv wanataka mambo mepesi mepesi

Ova
Mungu atuhurumie...maisha hayajawahi kuwa mepesi...naona kabisa ukoloni mambo leo utaisha and by far 2080,wazungu watakuja kututawala tena...hatutakuwa na chochote,kijeshi,kiuchumi nk

Kina Trump wengi watatokea watasema tunataka Tanzania iwe yetu na watanzania tutawaswaga jangwani huko hivyohivyo na Africa kwa ujumla...tutabisha?thubutuu

KWA SABABU SISI NI WAPUMBAVU SIO WAJINGA
 
Wakuu asalaam aleykum!

Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana, katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu; kuanzia kufikiria kibunifu, kutekeleza mipango, nk. Mfano enzi ya akina Mwlm. Julius Kambalage Nyerere, Warioba, nk.

Lakini pia nchi zilizoendelea, gunduzi nyingi, biashara pamoja na makampuni makubwa yanasimamiwa na vijana. Vijana wa Tanzania wanaweza Uchambuzi wa sofa tuu na kubeti.

Njaa imepanda kutoka tumboni hadi kichwani, hawajui wala hawaangalii lolote zaidi wamebaki kuunga mkono tabaka fulani kwa kujipendekeza/uchawa.

Leo nimemsikia mmoja anaitwa Mwijaku anajinadi yeye ni gen Z, nadhani anajifananisha na Gen Z wa Kenya, kwa ufupi IQ ya vijana wa Gen Z wa Kenya sidhani kama unaweza linganisha na wa Tanzania Hawa wa kwetu wanasubiri matamasha ya Kizimkazi, Simba na Yanga, na kumaliza bando kuangalia harusi ya Azziz k.

Aibu aibu aibu.
Aibu aibu aibu tupu
 
Vyombo vya habari navyo vinachangia. Ulaya mambo ya michezo yana vyombo vyake vya habari special (radio&tv). Huku kwetu watu wanadiscuss mpira toka asubuhi hadi jioni. Kuna uzi nililiongelea hili. Vijana wanakua exposed kwenye vitu ambavyo haviwakengi kupata maendeleo yao binafsi na ya taifa kwa ujumla. Huwezi kua msaada kwa jamii yako kama hauko exposed na matatizo yanayoikabili jamii yako na njia za kujikwamua kutoka kwenye matatizo na changamoto hizo. Vijana wanafarijiwa na Simba na Yanga wakati umri unaenda na hawana chochote na wanazidi kua maskini siku hadi siku. Sasa vijana wenye njaa, umaskini na hawana upeo wowote vichwa vyao vimejaa Simba na Yanga watawezaje kulisaidia taifa lao kujikwamua kiuchumi na kiteknolojia?! Vipindi vya michezo vina wachambuzi wengi kuliko kipindi chochote kile, sasa hiki wanachochambua kina tija gani sasa kwa taifa?! Mtu alieko kijijini anahangika na kilimo, uvuvi na ufugaji anapata matumaini gani ya kupiga hatua kwenye shughuli zake kama ananyimwa haki ya kupata ujuzi, ufahamu na elimu kutoka kwa watu ambao serikali imetumia gharama kubwa kuwasomesha?!
 
Back
Top Bottom