Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri nanhao nyerere na warioba walifanya nn au mnakurupuka tu kuwatajaUnashauri nini?
Nao hawa wanyonyaji wanajua udhaifu uko wapi,ndiposa utasikia mhe. Fulani atazisaidia Simba na Yanga kupata wawekezaji au kununua magoli....God save usVyombo vya habari navyo vinachangia. Ulaya mambo ya michezo yana vyombo vyake vya habari special (radio&tv). Huku kwetu watu wanadiscuss mpira toka asubuhi hadi jioni. Kuna uzi nililiongelea hili. Vijana wanakua exposed kwenye vitu ambavyo haviwakengi kupata maendeleo yao binafsi na ya taifa kwa ujumla. Huwezi kua msaada kwa jamii yako kama hauko exposed na matatizo yanayoikabili jamii yako na njia za kujikwamua kutoka kwenye matatizo na changamoto hizo. Vijana wanafarijiwa na Simba na Yanga wakati umri unaenda na hawana chochote na wanazidi kua maskini siku hadi siku. Sasa vijana wenye njaa, umaskini na hawana upeo wowote vichwa vyao vimejaa Simba na Yanga watawezaje kulisaidia taifa lao kujikwamua kiuchumi na kiteknolojia?! Vipindi vya michezo vina wachambuzi wengi kuliko kipindi chochote kile, sasa hiki wanachochambua kina tija gani sasa kwa taifa?! Mtu alieko kijijini anahangika na kilimo, uvuvi na ufugaji anapata matumaini gani ya kupiga hatua kwenye shughuli zake kama ananyimwa haki ya kupata ujuzi, ufahamu na elimu kutoka kwa watu ambao serikali imetumia gharama kubwa kuwasomesha?!
Uko nchi gani nduguVizuri nanhao nyerere na warioba walifanya nn au mnakurupuka tu kuwataja
Ukiwa wa hivyo unavyotaka wewe km NETO kesho tu mlango umegongwa utamkuta Balozi, Mjumbe wako na Polisi kadhaa wanakusubiria nje wakakusweke ndani ukiuliza kosa nini eti upo kwenye kakikundi kanakojadili masuala ya Nchi yako na kuipinga SerikaliNatitizika sana kuwa sioni vijana wetu wenye sifa hizo. Wengi wapo kwenye betting, madawa ya kulevya, pombe na umalaya, udaku, simba, yanga, arsenal, Manchester, Barcelona, Liverpool, ManCity, muziki.
"Hakuna fahari yoyote kuongoza watu wasiojielewa. Mwisho wa siku hata wewe kiongozi unaonekana hujielewi".Taifa lolote lenye mtazamo wa maendeleo linajivunia rasilimali watu wenye nguvu, akili timamu, walioelimika na wachapa kazi.
Natitizika sana kuwa sioni vijana wetu wenye sifa hizo. Wengi wapo kwenye betting, madawa ya kulevya, pombe na umalaya, udaku, simba, yanga, arsenal, Manchester, Barcelona, Liverpool, ManCity, muziki.
Vijiweni ni discussion za mkeka umechanika, muhindi kanipiga, Simba kaua, Yanga kafanya hiki, sijui Diamond anatoka na nani, yaani ni vijana utopolo kabisa. Na hali ni mbaya zaidi kwa vijana wa kiume.
Viongozi mliopo madarakani, liokoeni hili Taifa. Linaangamia.
Hakuna fahari yoyote kuongoza watu wasiojielewa. Mwisho wa siku hata wewe kiongozi unaonekana hujielewi.
Mama yupo kazini anaupiga mwingi mitano tena mwezi wa kumi ni kwenda kumpigia mama kura yeye ndio anajuwa MUSTAKABALI WA TAIFA,Vijana kazi ni moja kubet na kuingia insta kuangalia penzi Almas na Zuchu linaendaje tukitoka hapo tubishane kidogo kuhusu mpira tukimaliza ni mwendo wa Gombea UTI sugu kwa mwajuma chupi mnato habari kwisha kabisa.Taifa lolote lenye mtazamo wa maendeleo linajivunia rasilimali watu wenye nguvu, akili timamu, walioelimika na wachapa kazi.
Natitizika sana kuwa sioni vijana wetu wenye sifa hizo. Wengi wapo kwenye betting, madawa ya kulevya, pombe na umalaya, udaku, simba, yanga, arsenal, Manchester, Barcelona, Liverpool, ManCity, muziki.
Vijiweni ni discussion za mkeka umechanika, muhindi kanipiga, Simba kaua, Yanga kafanya hiki, sijui Diamond anatoka na nani, yaani ni vijana utopolo kabisa. Na hali ni mbaya zaidi kwa vijana wa kiume.
Viongozi mliopo madarakani, liokoeni hili Taifa. Linaangamia.
Hakuna fahari yoyote kuongoza watu wasiojielewa. Mwisho wa siku hata wewe kiongozi unaonekana hujielewi.
kama mwanadamu,Taifa lolote lenye mtazamo wa maendeleo linajivunia rasilimali watu wenye nguvu, akili timamu, walioelimika na wachapa kazi.
Natitizika sana kuwa sioni vijana wetu wenye sifa hizo. Wengi wapo kwenye betting, madawa ya kulevya, pombe na umalaya, udaku, simba, yanga, arsenal, Manchester, Barcelona, Liverpool, ManCity, muziki.
Vijiweni ni discussion za mkeka umechanika, muhindi kanipiga, Simba kaua, Yanga kafanya hiki, sijui Diamond anatoka na nani, yaani ni vijana utopolo kabisa. Na hali ni mbaya zaidi kwa vijana wa kiume.
Viongozi mliopo madarakani, liokoeni hili Taifa. Linaangamia.
Hakuna fahari yoyote kuongoza watu wasiojielewa. Mwisho wa siku hata wewe kiongozi unaonekana hujielewi.

Moderator, kwanini mmeunganisha huu uzi? Kwani mngeuacha ukijitegemea mngepungukiwa nini? Una mahuasiano gani na mambo ya kubet na kuzishabikia timu za Simba na Yanga?Taifa lolote lenye mtazamo wa maendeleo linajivunia rasilimali watu wenye nguvu, akili timamu, walioelimika na wachapa kazi.
Natitizika sana kuwa sioni vijana wetu wenye sifa hizo. Wengi wapo kwenye betting, madawa ya kulevya, pombe na umalaya, udaku, simba, yanga, arsenal, Manchester, Barcelona, Liverpool, ManCity, muziki.
Vijiweni ni discussion za mkeka umechanika, muhindi kanipiga, Simba kaua, Yanga kafanya hiki, sijui Diamond anatoka na nani, yaani ni vijana utopolo kabisa. Na hali ni mbaya zaidi kwa vijana wa kiume.
Viongozi mliopo madarakani, liokoeni hili Taifa. Linaangamia.
Hakuna fahari yoyote kuongoza watu wasiojielewa. Mwisho wa siku hata wewe kiongozi unaonekana hujielewi.
Hawa moderator nao wapo corrupt tu. Hawataki kuona mada konki. Hawajui hata essence ya title. Kuelimika nako kazi sana.Moderator, kwanini mmeunganisha huu uzi? Kwani mngeuacha ukijitegemea mngepungukiwa nini? Una mahuasiano gani na mambo ya kubet na kuzishabikia timu za Simba na Yanga?
Mimi nadhani hamjamtendea haki mtoa mada! Mbona kuna mada za kujirudia/kufanana zinazoletwa na CHAWA kila siku hamziunganishi? Au na nyinyi ndugu zetu mko kwenye payroll kiasi cha kuhakikisha mnaizima mijadala huru kama hii?
I think this is unfair.
Ndiyo maana nimeona niwaambie ukweli. Hawakuwa na sababu ya kuunganisha huu uzi wako na uzi mwingine. It is unfair. Na huenda ni kwa sababu hoja yako inaibua hisia chanya, na hapa ndipo wanapo ogopa.Hawa moderator nao wapo corrupt tu. Hawataki kuona mada konki. Hawajui hata essence ya title. Kuelimika nako kazi sana.