Ni wapi naweza kupata Kiwanja cha chini ya milioni 4 kwa Dar es Salaam?

Ahaa kumbe Kibugumo. Hapo Sawa.
Kibugumo ipo mji mwema au iko wapi? Maana hata Dege hufiki.

Kuliko mtu kwenda kununuwa chanika au mbande, ni matumizi mazuri ya akili kununuwa Kibugumo si mbali na mjini na si mbali na beach za kigamboni.

Binadamu wote Mungu katupa akili lakini issue inakuja kwenye matumizi mazuri ya akili tu.
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.

Kigamboni mwongozo unapata
Kigambon mwela unapata
Kigamboni kibugumo
0689733183 nipigie
 
Kisemvule siyo Dar
 
Kama bajeti yako ni Mil.4 hakikisha unatenga at least laki 2-3 kwajili ya uhakiki. Pwani ni yakitapeli mno.. hasa hivi viwanja vya miguu kwa miguu.

Watu hawana huruma ma imekuwa biashara kubwa nhawajifichi tena. Unajikuta umemlipa tapeli, mtu alitapeliwa kwenye maeneo yenye upimaji na Umiliki. Kuwa makini sana.
 

Kuliko kujenga chanika bora ukajenge mkoani kabisa…
 
Au aende mbele ya Kigamboni kunaitwa Buyuni na vimepimwa. Kwa bei hiyo atapata kizuri tu..

By the way, kuna watu huwa wanadanganyana sehemu kama Mbagala etiunaweza pata eneo zuri kwa bei rahisi...
 
Habari Wana JF,

Natafuta Kiwanja Dar es salaam Cha bei poa Chini ya Mil 4

Vigezo;
  • Eneo liwe lina upatikanaji wa maji na umeme
  • Pasiwe mbali sana na Mji(Ndani ya dar es salaam)
  • Eneo la kutosha vyuma ya vyumba 3 na choo 2.
Kwa hiyo bei, unachokitafuta utakipata. Usirudi humu kutililia.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…