CHAPALAKATA
Member
- Sep 9, 2024
- 78
- 120
Lisu atakuwa hayupo na chadema kwisha kazi lisemwalo lipo kama haliop laja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
simjui Mbowe, ila matendo ya Lisu yamenitoa imani kwake. He was one of my favorite politician. Kumbe ni mropokaji...... juzi kasema hawezi kugombea uenyekti na Mbowe, leo anagombea...utamwamini mtu kama huyo?Hadi wewe mkuu bado unaamini katika diplomacy kwenye kudili na michezo michafu ya sisiem katika nchi hii? Utakuwa kati ya watu wenye maslahi binafsi na Mbowe, na inastaajabisha.
nani kamshawishi? Mbowe? True Wenje hafai kwa nafasi hiyo........Wenje ndio ameshawishiwa kugombea nafasi ya makamu mwenyekiti.
Maneno aliyozungumza Lissu leo wakati anarudisha fomu ni mazito sana, anasema mtu aliyemleta Abdul kwake ampe pesa na akamwambia hata wengine wameshapewa pesa ndiye anagombea kuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA na anamuunga mkono Mbowe kuwa mwenyekiti!
Katika hili jambo kama ni kweli ni baya sana kwa CHADEMA kwa maana chama kinapoteza imani mbele ya umma. Kwa upande mwingine kama Lissu ni muongo basi hawezi kuaminiwa kuwa kiongozi tena na wenzake ndani ya CHADEMA maana ni dhahiri atakuwa ana nia mbaya sana dhidi ya chama na hii inamaanisha safari yake ya kugombea urais kupitia CHADEMA mwaka 2025 inaweza kuwa imefika mwisho.
Pia amekejeli mtindo wa mwenyekiti Mbowe ambao huwa anaombwa na wapambe kila uchaguzi kugombea.
Lissu asipokuwa mwenyekiti wa CHADEMA atajaribu kuanzisha chama kingine, ataelekea ACT au ataachana na siasa kabisa.
Lissu hakua direct ni nani kamshawishi wenje. Ila alisema tu kwa jumla kuwa wenje alishawishiwa kugombea umakamunani kamshawishi? Mbowe? True Wenje hafai kwa nafasi hiyo........
Tumezoea sana kufichaficha mambo na uogauoga wa kijinga na kunyenyekea lakini Lissu hayuko hivyo Mungu atamlinda Lissu tumfuate.Mwamba ni kama sikio la kufa.
Ushauri wa bure,issue aongezewe ulinzi.
Cc: imhotep, JokaKuu, binti kiziwi
Vitu vidogo sana kwenye siasa hivi, huyo Mbowe unayemuamini hajawahi kugeuka?simjui Mbowe, ila matendo ya Lisu yamenitoa imani kwake. He was one of my favorite politician. Kumbe ni mropokaji...... juzi kasema hawezi kugombea uenyekti na Mbowe, leo anagombea...utamwamini mtu kama huyo?
Una maana CHADEMA itakayo kuwa inaongozwa na nani, Mbowe? Hapo bado kutakuwepo na CHADEMA kweli?Lissu asipokuwa mwenyekiti wa CHADEMA atajaribu kuanzisha chama kingine, ataelekea ACT au ataachana na siasa kabisa.
Mnataka mtu mwenye diplomacy ambaye tayari ni saturated solution asiyechagulika, au mropokaji jembe kazi anayechagulika, anayeweza kuingiza Chadema Ikulu?.Ni Lisu kuacha kugombea...Mbowe ana diplomacy, siyo kama lisu anayeropoka
Kweli kipendacho roho ni dawa!.Ni Lisu kuacha kugombea...Mbowe ana diplomacy, siyo kama lisu anayeropoka
"Hekima" ina maana kwako ni kuto mpinga Mbowe!He was one of my favorite politicians until recently after his stupid press!
Maana yake Mbowe ameshindwa kuitengeneza CHADEMA kuwa chombo kinachojiendesha kwa mifumo ya kitaasisi. Ni one man show mliyo ikataa kwa Magufuli.Bila mbowe chadema inakufa
Tumezoea sana kufichaficha mambo na uogauoga wa kijinga na kunyenyekea lakini Lissu hayuko hivyo Mungu atamlinda Lissu tumfuate.
Hana hekima na busara amevikosa kabisa. He was one of my favorite politicians until recently after his stupid press!
Mbowe hatagombea na ni dhahiri walikubaliana na Lissu ppasipo kushirikisha watu fulani, sasa vijana wa Mbowe kwa kuwa hawakutaraji wala kulijua hilo wakataharuki na kuungana na CCM kuanza kumchafua na kumdharirisha Lissu.
Zitto anataka kurudi bungeni, Lissu akienda ACT atakuwa mgombea urais bila kipingamizi chochote.
Mazingira yanabadilika, hata Mbowe alisema angestaafu endapo CHADEMA ingefanya vibaya 2020.simjui Mbowe, ila matendo ya Lisu yamenitoa imani kwake. He was one of my favorite politician. Kumbe ni mropokaji...... juzi kasema hawezi kugombea uenyekti na Mbowe, leo anagombea...utamwamini mtu kama huyo?
Hapana, Lissu na Mbowe wanajua wanachofanya, sio serious kama unavyofikiria.Maneno aliyozungumza Lissu leo wakati anarudisha fomu ni mazito sana, anasema mtu aliyemleta Abdul kwake ampe pesa na akamwambia hata wengine wameshapewa pesa ndiye anagombea kuwa makamu mwenyekiti wa CHADEMA na anamuunga mkono Mbowe kuwa mwenyekiti!
Katika hili jambo kama ni kweli ni baya sana kwa CHADEMA kwa maana chama kinapoteza imani mbele ya umma. Kwa upande mwingine kama Lissu ni muongo basi hawezi kuaminiwa kuwa kiongozi tena na wenzake ndani ya CHADEMA maana ni dhahiri atakuwa ana nia mbaya sana dhidi ya chama na hii inamaanisha safari yake ya kugombea urais kupitia CHADEMA mwaka 2025 inaweza kuwa imefika mwisho.
Pia amekejeli mtindo wa mwenyekiti Mbowe ambao huwa anaombwa na wapambe kila uchaguzi kugombea.
Lissu asipokuwa mwenyekiti wa CHADEMA atajaribu kuanzisha chama kingine, ataelekea ACT au ataachana na siasa kabisa.
Busara za kuwafurasha ccm. Hizo sifa za kijinga wanapewa viongozi waliokubali kuwa watumwa wa watawala.Ni Lisu kuacha kugombea...Mbowe ana diplomacy, siyo kama lisu anayeropoka