Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huu utetezi achana nao maana utaingia aibu ya bure? Unakumbuka yule mgombea wa kuokoteza uchaguzi mkuu wa 2015 kutokana na pesa zake? Unakumbuka waliokuwa wanamuIta fisadi, na kuishia kubadili gia angani?simjui Mbowe, ila matendo ya Lisu yamenitoa imani kwake. He was one of my favorite politician. Kumbe ni mropokaji...... juzi kasema hawezi kugombea uenyekti na Mbowe, leo anagombea...utamwamini mtu kama huyo?