Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

Ni wazo tu: Wachaga wahamishwe maeneo ya Mlima Kilimanjaro!

View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Wapemba wahamishwe, wakaharibu kile kisiwe, kina maeneo mengi ya urithi na ambayo UNESCO inayatambua. Tukiwahamisha tutakua tumefanya Jambo kubwa Sana na la maana
 
Wakidai hiyo nchi yao basi itabidi wafukuzwe sehemu zote zingine nchini. Sijui kama watatosha na kuelewana kwenye hiyo ‘nchi yao’🙂

Hawataogopa.
Kumiliki nchi ni jambo kubwa Mkuu usifikiri wao ni wajinga kutaka Wachaga kuwa nchi kamili.

Ni sawa useme ufukuzwe nyumbani ya kupanga ili uende ukaishi nyumbani kwako.
 
View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.

Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.

NB
Sitaki matusi.
Wee bwa unachokitafuta utakipata
 
Back
Top Bottom