🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇View attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
[emoji1787][emoji1787]Tena haraka, mlima unajiandaa kutema volcano, atakaekuwa karibu atakuwa jivu.
🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇🤣😇Tena haraka, mlima unajiandaa kutema volcano, atakaekuwa karibu atakuwa jivu.
[emoji1787]Bora hata huko wapo wachaga wana ustaarabu wa kutunza mazingira, ingekua ni kina sabina wanakaa huko utakutana na maganda ya miwa hadi kwenye kilele cha mlima......
😁😁Kina sabina ndio kina saitaa?Bora hata huko wapo wachaga wana ustaarabu wa kutunza mazingira, ingekua ni kina sabina wanakaa huko utakutana na maganda ya miwa hadi kwenye kilele cha mlima......
Inawezekana kabisa kuwahamisha kina yakhe, wahamie kule Igurusi.Wakimaliza Kilimanjaro tutunze mji mkongwe Zenji tuwahamishie Tunduru kwa maslahi mapana ya Muungano 😂
Tena Desemba watakuwa wanaenda Msomera!Wachagaa mnaitwaa huku, kuna mtu ana jambo na nyie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana kina makoye 🤣🤣😁😁Kina sabina ndio kina saitaa?
Weke suko nae, mateitei hiwaa.Luende kuuu'?
Ou' nachekubali mbe?
Labda msuko🤣
Sema kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena Desemba watakuwa wanaenda Msomera!
Siyo Moshi tena!
Wapemba wahamishwe, wakaharibu kile kisiwe, kina maeneo mengi ya urithi na ambayo UNESCO inayatambua. Tukiwahamisha tutakua tumefanya Jambo kubwa Sana na la maanaView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Nimewaza tu alifikiria nini huyu jamaa, sema ni Masai huyo ana hasira za kupelekwa Msomera
Wakidai hiyo nchi yao basi itabidi wafukuzwe sehemu zote zingine nchini. Sijui kama watatosha na kuelewana kwenye hiyo ‘nchi yao’🙂
Wajipambanie mwenyeweNimewaza tu alifikiria nini huyu jamaa, sema ni Masai huyo ana hasira za kupelekwa Msomera
Wee bwa unachokitafuta utakipataView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomora , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kwani we mchaga?Wee bwa unachokitafuta utakipata