OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kuna vitu unaweza kufikiri kuhusu Samia mpaka ukakufuru Mungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haifanyiki Kwa bahati mbaya hiyo ni calculated move!Kuna vitu unaweza kufikiri kuhusu Samia mpaka ukakufuru Mungu
Kuna makabila ni ngumu kuyachezea wao wenyewe wanajuaView attachment 3075375
Kama kuna kivutio cha utalii kinachojulikana duniani ni mlima Kilimanjaro.
Kivutio hiki kinaingiza watalii wengi sana mwaka hadi mwaka.
Jamaa wanaokaa karibu, ndugu zangu wachaga, wanachoma moto mazingira na kuharibu uoto kila mwaka.
Wahamishwe kwenda Msomera , Kilindi Tanga.
Kama imewezekana Ngorongoro, huku tutashindwa nini?
Wasalaam Aleikhum.
NB
Sitaki matusi.
Kwa sababu wewe ni mpare kaa utulie mekuUngefanya nn kwa mfano?😁😁
Vitongoji vimefutwa Hai na Rombo pia. Uchagani huko.Wachaga sio Wamasai.
Kila mtu atabeba nchi yake humu.
Tutahama, ila ardhi ya Geita na Mwanza ihamishiwe kwanza Kilimanjaro kwa miaka 10 tu.
Watu mna mawazo mazuri.Ni kweli pia hapa Kizimkazi kuna fukwe nzuri sana zinazovutia watalii.
Tunaomba nasi watu wa kizimkazi tuhamishwe tuhamie Msomera ili zijengwe hotel nzuri na fukwe ziboreshwe na kuwa nzuri na bora kwa watalii.
Kizimkazi NO!Ni kweli pia hapa Kizimkazi kuna fukwe nzuri sana zinazovutia watalii.
Tunaomba nasi watu wa kizimkazi tuhamishwe tuhamie Msomera ili zijengwe hotel nzuri na fukwe ziboreshwe na kuwa nzuri na bora kwa watalii.
Aki nyie! Ndio maana tutawahamisha.Shilochindi😁
Kwa nini madam 😁Aki nyie! Ndio maana tutawahamisha.
Matondo iwa nae.Tutahama, ila ardhi ya Geita na Mwanza ihamishiwe kwanza Kilimanjaro kwa miaka 10 tu.