Hasira hasara ya banana zorro humo ndan amezumzia ismail walivoua kund na mwenzie
 
Kuna wimbo kashirikishwa Nuruel na mdada sijui anaitwa nan, baadhi ya mistar ya chorus

Wewe ndo nuru yangu ndani ya moyo wangu
Mimi ni nuru yako ndani ya roho yako
Nendaaa aaaaaa aaaaaa
Nitafute whats app kwa namba 0762058211 nikutumie
 
Wakuu nimetafuta nyimbo mbil bila mafanikio
african star/twanga pepeta
maneno ya humo ndani ni 'kula mbakishie baba kula' na mwingine haya 'pilipili ya shamba yakuwashia nn.
wakuu anayefahamu anisaidie hata majina ya hizi nyimbo
 
Wadau mi naomba hizi hapa..

1. Mwanadar es salaam-Twanga Pepeta

2. Mpenzi kwaheri-Jaymoe feat TID (Mpenzi kwaheri, fukara sina baiskeli wala gari, mpenz kwaheri fukara mimi hali yangu tahabani)

3. Man X-Nipe Nafasi(Nakupenda baby mamaaa.. nakupenda baby mpenz.. nakupenda baby npe nafas unachotaka nitakupa baby)

4.Davy Zinda-Kasoro

5. Top C-Nimekufananisha(Nimekufananisha we dada.. nimekufananisha we sista.. ndo maana mimi nimekuita.. ndo maana mimi nimekuita)

6. Benjamin wa mambo jambo-Play Boy (Wananiita mi malaya wakati demu mi sina.. wananiita play boy)

7. Say Nag-Rudi

8. Jay moe-Ulimwengu ndo mama

9. Neck Breakers-Kidogo tu (Nataka niseme mi aah kidogo tu.. pruuuu.. kidogo tu... nataka niseme mi aah kidogo tu)

Natanguliza shukrani
 
Habari wanajamvi!
Najua it sounds crazy lakini nimekwama mwenzenu.
Nna shida ya kujua jina LA wimbo Fulani hawajaimba watu Ila umo ndani imepigwa tarumbeta na ikifuatia na piano!
Hii music instrument ni maarufu sana kwa vipindi vya mchana mida ya msosi na pia vipindi vya mahaba vya late nights huwa Mara nyingi ni background kwa mbali mtangazaji akiwa anaongea.

Linaanza tarumbeta baada ya muda inafuatia piano.
Nimejaribu kuigiza sauti ila audio imegoma kuapulodi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…