Mi natafuta sana tule tunyimbo twa Antony Lusekelo anaimbaga kwenye mahubili yake.ni twa kipekee,oh sayuni sayuni ooooh sayuni[emoji445]...Kwa imaniiiii tutashindaaa[emoji444][emoji350]
Ukiupata nitagi aise
 
Natafuta wimbo wa dada remi wa tabora jazz ule uliorudiwa cjui ndo remix
 
natafuta wimbo unaibwa hivi
mama nipe nauli nikamtafute monica amekimbia zambia na pesa za watu
kisa cha kukimbia madeni yamemzidi
wimbo upp
o part 1&2
 
Natafuta wimbo wa Mchinga generation(G8)-Nguzo tano za mapenzi
 
Jaman mwenye nyimbo kati ya hizi naomba
African revolution (Tam tam)-kijino pembe
African revolution (Tam tam)-kitendawili
kimondo band-Neli
Awilo wa mbeya-Ee dada
Super danger ft Banza stone-utanikumbuka
 
Mimi jamani ninautafuta wimbo uliokuwa unaintroduce kipindi cha Jifunze elimu ya ushirika.Unaanza hivi:

Wananchii tujifunzeni ushirikaa.

Wale mliobahatika kusikiliza RTD mnanipata bilashaka.

Asante
 
Natafuta wimbo wa Nemo ft dully sykes Baby sema,
Mwenye nao naomba unaimbwa hivi
chorus
Baby baby sema basi kama umekubalii,
Baby baby sema basi kama upo tayarii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…