Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Mkuu JF sio sehemu salama kutoa namba ya simu itakuwa msaada kama unalifahamu jina lake unitajie ni download.
Kama si mhalifu huwezi kuogopa kutoa namba, pia unaweza ukatuma namba PM ili wengine wasiione. Kuhusu jina la wimbo ungeangalia aliyeomba alikuwa anataka wimbo gani.
 
Natafuta wimbo wa Nemo ft dully sykes Baby sema,
Mwenye nao naomba unaimbwa hivi
chorus
Baby baby sema basi kama umekubalii,
Baby baby sema basi kama upo tayarii
Wimbo ninao ila sijui jinsi ya ku upload
 
Jaman mwenye nyimbo kati ya hizi naomba
African revolution (Tam tam)-kijino pembe
African revolution (Tam tam)-kitendawili
kimondo band-Neli
Awilo wa mbeya-Ee dada
Super danger ft Banza stone-utanikumbuka
Utanikumbuka wa super danger ft banza stone upo you tube
 
Siikumbuki jina lakin nakumbuka baadhi ya mistari "Ina nibidi niombe radhi eeh..aa mama,nisamehe mama Hussein aah..mama nisamehe mama Natasha.ah.mama(Tx)..nitafanya nini nia Clara mama.. Matatizo yako huo nitayazoea.." Hii nyimbo iliimbwa Msondo Akiwemo Tx Moshi...naitafuta sana hii nyimbo
 
Siikumbuki jina lakin nakumbuka baadhi ya mistari "Ina nibidi niombe radhi eeh..aa mama,nisamehe mama Hussein aah..mama nisamehe mama Natasha.ah.mama(Tx)..nitafanya nini nia Clara mama.. Matatizo yako huo nitayazoea.." Hii nyimbo iliimbwa Msondo Akiwemo Tx Moshi...naitafuta sana hii nyimbo
 
Kuna wimbo mmoja huwa unapigwaga TBC wakati wa sikukuu ya chrismass. Wanaimba...(sijui kama ni sahihi lakini kimatamshi) 'adoele adoele..noele mama noele mama'....anayeufahamu tafadhali
 
Kuna wimbo mmoja huwa unapigwaga TBC wakati wa sikukuu ya chrismass. Wanaimba...(sijui kama ni sahihi lakini kimatamshi) 'adoele adoele..noele mama noele mama'....anayeufahamu tafadhali
Tafuta you tube nahisi unaitwa kakolele au Viva Christmas umeimbwa na jamaa kama sikosei aitwa gatson kakole.
 
Nyimbo hizi mbili ingawa majina sijajua Ila jina la wasanii wake au maneno ya wimbo.
Wasanii kritik na scout jentaz- sijui title ya wimbo lkn kuna maneno yanasema kama tabia zangu zinawakera wangu Masela mnizoee hits za 2003&2004.
Wimbo wenye maneno haya- Wanasema nimedata sina hata lamkusema Mbele, wanasema nimedata sina hata la kasema Mbele oh no! Simkumbuki ni nani aliimba lkn pini ilibamba sana 2002- 2005
 
Jamani mwenye nyimbo kati ya hizi naomba

Kesse boy ft Makamua-Hawa mademu

Chibdayo ft Marlaw-Kuwa naye

Awilo wa mbeya-Ee dada

Bozi Boziana-Amour oti wapi

African revolution(Tam Tam)-Kijino pembe

Extra bongo-3x3

Tot plus band
Ya kesse na hiyo ya chidbayo ninazo..
Nashindwa kuweka hapa nipm namba yako nikurushie
 
Natafuta wimbo wa Nemo ft dully sykes Baby sema,
Mwenye nao naomba unaimbwa hivi
chorus
Baby baby sema basi kama umekubalii,
Baby baby sema basi kama upo tayarii
Unaitwa Vumilia
 
Jamani kuna wimbo wa CCM wa campaign unaimbwa hivi “ Inang’ara CCM, Kinang’ara chama cha mapinduzi’’

Nisaidieni jamani naupenda sana
 
Nyimbo hizi mbili ingawa majina sijajua Ila jina la wasanii wake au maneno ya wimbo.
Wasanii kritik na scout jentaz- sijui title ya wimbo lkn kuna maneno yanasema kama tabia zangu zinawakera wangu Masela mnizoee hits za 2003&2004.
Wimbo wenye maneno haya- Wanasema nimedata sina hata lamkusema Mbele, wanasema nimedata sina hata la kasema Mbele oh no! Simkumbuki ni nani aliimba lkn pini ilibamba sana 2002- 2005
Critic-Mnizoee

Mad Ice-Rose
 
Back
Top Bottom