Critic-Mnizoee

Mad Ice-Rose
Thanks Gwankanja hizo pini zinanikosha sana na zinanikumbusha mamsap wangu kipindi hicho tuna date alidanyanya kwao kapata kazi mkoani akahamia gheto kwangu akaa 4 months mpaka nilikwenda kujitambulisha kwao hahahaha
 
Thanks Gwankanja hizo pini zinanikosha sana na zinanikumbusha mamsap wangu kipindi hicho tuna date alidanyanya kwao kapata kazi mkoani akahamia gheto kwangu akaa 4 months mpaka nilikwenda kujitambulisha kwao hahahaha
Ha ha hatari...
Bora lakini mwisho haukuwa mbaya!!
Hizi nyimbo zinatunza kumbukumbu nyingi sana...
Mimi kuna siku naweza sikiliza oldskul tupu asubuhi mpaka usiku!!
 
Mkuu Kuna wimbo umeimbwa kiswahili na General Defao , "kosa langu baba unihurumie , basolinaaa
 
mwenye wimbo wa kiasili uliokuwa unatumika ku-introduce kipindi cha JICHO kilikuwa kinarushwa Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD)...
shukran
 
Natafuta uwimbo wa banza stone r.I.p
I love u sweat bby
I need u sweat bby
Nakupenda kwa dhat sweat bby
Na uvumilivu wako ulionao...mwenye nao naomba anisaidie..
 
Mi natafuta wimbo flani hivi nàkumbuka ubeti wake mmoja japo sijui kama napatia kuuimba vyema "tundete tundetero ndete ndetero"
 
Natafuta wimbo wa Soul N face (au ni Ismail kama sikosei) unaitwa MSHENGA.
 
Natafuta wimbo wa Soul N face (au ni Ismail kama sikosei) unaitwa MSHENGA.
Chorus yake inaimbwa '...hivi ni lini ombi langu litajibiwaaa.....hivi ninlini ombinlangu litakubaliwaaa.....naomba kwa mungu usiku kucha ili lije jibu labfurahaa...."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…