Ntashkuru sana mkuu.poa nitacheki asubuhi...
Huu hapa man.Habari mkuu
Nami naomba ule wimbo wa kwaya unaosema HAKUNA MUNGU KAMA WEWE YAWEE AAAHH. AAAHH
Shukrani.
Ahsante sana mkuu.Huu hapa man.
Enjoy
Mkuu Kuna hizi nyimbo KALI sana za HIPHOP naziomba mkuu nimezitafuta bila mafanikio.Huu hapa man.
Enjoy
Mkuu Kuna hizi nyimbo KALI sana za HIPHOP naziomba mkuu nimezitafuta bila mafanikio.
1.Black rhyno_Niskize me
2.Black rhyno_Nini mnataka mazee (mistari).
3.Hashim_Kibongobongo au kinyamwezi
4.Hashim_Mama pili ana watoto wawili wakwanza anaitwa teda wa pili ataitwa nani?? Aaah rudia...!
Pamoja sana mkuu
Habari mkuu
Nami naomba ule wimbo wa kwaya unaosema HAKUNA MUNGU KAMA WEWE YAWEE AAAHH. AAAHH
Shukrani.
Mkuu Kuna hizi nyimbo KALI sana za HIPHOP naziomba mkuu nimezitafuta bila mafanikio.
1.Black rhyno_Niskize me
2.Black rhyno_Nini mnataka mazee (mistari).
3.Hashim_Kibongobongo au kinyamwezi
4.Hashim_Mama pili ana watoto wawili wakwanza anaitwa teda wa pili ataitwa nani?? Aaah rudia...!
Pamoja sana mkuu
wakuu minahitaji nyimbo za mrEbo mwenye nazo atupie hapa 2kumbushie enzi zetu
Nje ndani gangwe mobb mwenye nao please
Anza na hizi. Ingawa mwenyewe natafuta wimbo wake wa Fahari Yako, wa Ebbo, kwenye library sina. Alie nao atupiemo