Hizi hapa ndugu, kama zooooote vile.
Enjoy while it lasts




Mkuu chuma kingine hichi tafadhali nakiomba.

BlackRhyno ft Mr blue_Nskize Mi nafanya nini mi nafaaanya nini na machizi wangu maskani tunawaaaza nini.

Shukrani mkuu.
 
Mkuu chuma kingine hichi tafadhali nakiomba.

BlackRhyno ft Mr blue_Nskize Mi nafanya nini mi nafaaanya nini na machizi wangu maskani tunawaaaza nini.

Shukrani mkuu.
Hiyo nshaweka angalia post...za juu!!
 
Kuna wimbo wa viraka f.t q jay unaitwa niambie ukweli kama sijakosea nauomba pia kuna wimbo wa PNC unaitwa mama na dhan ndio wimbo wakwanza kwanza enzi izo anaingia dar pia natafuta wimbo wa stive rnb unaitwa msamaa una maadhi ya rege pia nahisi ndio wimbo wake wa kwanza@kioo na watu wengine msaada wa hizo nyimbo
 
kuna msaanii anaitwa hk enzi hizo ana nyimbo inaitwa tatizo out na nyingine inaitwa umerudia tena kashirikishwa Esta wasira pls kama mnazo hizo wadau naziomba
 
Sitaki demu rmx nature ft Bk
 
Inaitwa kazeze ipo humuhumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…