rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
mm naomba nyimbo ya bushoka nakugoza naielewa sana
Ndio mkuu huyohuyo SOLO THANGMambo ya Pwani nafikiri unamaanisha Solo Thang
Ndio mkuu huyohuyo SOLO THANG
Naiomba tafadhali mkuu.
Shukrani.
Unaonekana Unaye ya Mez B Nichekie mkuu...
Pia Unaitwa Nani ya Q chief
nash mc mitihani
Nataka wimbo huu
Tazama ramani na Tanzania Tanzania, nakupenda kwa moyo wote
Baba hilo ngoma la dakika 1 Ni hatareeeeeeee.Nahitaji nyimbo hizi, mwenye nazo please
- Inomaic & agalayi..msanii kutoka Uganda
- zuwena.. mr paul
- Jaguar ft Ay
- sirudi tena ft mabeste, jux
- miaka 6 sijazaa + nimpende nani
- elimu mtaani d'knob
- dakika 1
- ni wewe kwenye hii dunia, hard mard
mm naomba nyimbo ya bushoka nakugoza naielewa sana
Shukran mkuuNahisi kama nilikuwekea hii ngoma mbona...?
Zuwena...mr Paul huo enjoy!Nahitaji nyimbo hizi, mwenye nazo please
- Inomaic & agalayi..msanii kutoka Uganda
- zuwena.. mr paul
- Jaguar ft Ay
- sirudi tena ft mabeste, jux
- miaka 6 sijazaa + nimpende nani
- elimu mtaani d'knob
- dakika 1
- ni wewe kwenye hii dunia, hard mard
Kaka kama una wimbo wa Daz nundaz si ukumbuki vizuri ila nahisi kuna sehemu au mstari unasema HILI NI TANGAZO MAALUMU KWA DAZ KWANZA CHEKI CHEKI naomba msaada wa hyo nyimboZuwena...mr Paul huo enjoy!