Huu hapa man. EnjoyHabari mkuu... kuna wimbo wa Pasha unaitwa Warembo... kama utakuwepo nauomba
Asante sana mkuu... kuna nyimbo nilishakataga tamaa kuzipataHuu hapa man. Enjoy
Ni kweli kamanda, kunaa baadhi ya nyimbo huwa inachukua muda sana kuzipata. Ila usikate tamaa. Utazipata, ingawa kwa kuchelewaAsante sana mkuu... kuna nyimbo nilishakataga tamaa kuzipata
Ngoja niusake man. Ningejua jina lake ingekuwa rahisi, maana nina oldskool nyingi sana hapa kwangu.[emoji22] [emoji22] [emoji22] nimeukosa mkuu
Mkoloni & Mr Ebbo-Mnisamehe
Mkoloni & Mr Ebbo-Mnisamehe
Nitashukuru sana mkuuNgoja niusake man. Ningejua jina lake ingekuwa rahisi, maana nina oldskool nyingi sana hapa kwangu.
IMEBIDI NIINGILIE HUU UZINgoja niusake man. Ningejua jina lake ingekuwa rahisi, maana nina oldskool nyingi sana hapa kwangu.
[emoji22] [emoji22] [emoji22] aisee sasa kwanini ukiufuta [emoji24] [emoji24] [emoji32]IMEBIDI NIINGILIE HUU UZI
WIMBO UNAITWA SHOW DOWN HIVYO HIVYO.MIMI MWENYEWE NILIUSIKIA MTAA WA MANGOMA NIKAUTAFUTA YOU TUBE NIKAUPATA ILA NIKAJISAHAU NIKAUFUTA NA MPAKA LEO KILA NIKIUCHEKI YOU TUBE SIUPATI TENA SABABU NIMEMSAHAU MSANII.
Ningepata jina la msanii ingesaidia sana. Maana kutafuta jina la wimbo kwenye huu msitu (more than 100 GB) ni kazi sana man.IMEBIDI NIINGILIE HUU UZI
WIMBO UNAITWA SHOW DOWN HIVYO HIVYO.MIMI MWENYEWE NILIUSIKIA MTAA WA MANGOMA NIKAUTAFUTA YOU TUBE NIKAUPATA ILA NIKAJISAHAU NIKAUFUTA NA MPAKA LEO KILA NIKIUCHEKI YOU TUBE SIUPATI TENA SABABU NIMEMSAHAU MSANII.
Ndo tuseme basi hakuna solutionNingepata jina la msanii ingesaidia sana. Maana kutafuta jina la wimbo kwenye huu msitu (more than 100 GB) ni kazi sana man.
Ningepata jina la msanii ingesaidia sana. Maana kutafuta jina la wimbo kwenye huu msitu (more than 100 GB) ni kazi sana man.
Watakuja wenzetu watajaziaNdo tuseme basi hakuna solution
SawaWatakuja wenzetu watajazia