Fresh kiongozi pamoja sana.
Iliyokuwa bado unasema tu wadau wapo hapa mwenye nayo atasaidia kuweka kwa niaba ya ote sio. Thanks.
Dotinata live fm academiaHuu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
EnjoyHabari bwana Idimi
Kuna wimbo flani hivi wa bongo flava kitambo kidogo
Baadhi ya mashair yake Haya hapa
**Mimi Ni Dr Lida ni msambaa wewe Ni nani Ni msambaa**
Dr Lida_msambaa
Nb.. Msambaa namaanisha kabila.
Nauomba huo wimbo mkuu.
Shukrani.
Bila shaka ni huu mkuu(Charonyi ni wasi) muimbaji simjui
Hapa tunarusha live mazee, whatsapp sio kabisa. Maana wimbo ukiwekwa hapa kila anaeutaka anafaidiAlbum zote za justin kalikawe
1mv bukoba
2 dunia inawaka moto
3 korosho,pamoja na nyingine zote ambazo kaimba hata kama za kihaya leta tu nirushie wasap 0787067886
Mkuu kama una Mpenzi Kwaheri ya Jaymoe ft TID naiomba...Bila shaka ni huu mkuu
Nakuongezea wa ziada wa TOT. Huo wa Yatima watarusha walio naoThanks sana mkuu, bado wa Yatima kutoka kwa TOT Plus Band
Jamaa anaitwa Saganda wimbo ni Rafael.[QUOTE="Gezuz, post: 29590202
laikini pia kuna msanii fulan alikuwa anaimba kwa rafudhi ya kichaga,ni kama anasimulia story hivi mara kuhusu mbege n.k
Nimepekua sijaipata labda wengine watafanikishaMkuu kama una Mpenzi Kwaheri ya Jaymoe ft TID naiomba...
Nakuongezea wa ziada wa TOT. Huo wa Yatima watarusha walio nao
wengine wataongezea, burudika na hizo kwanzaAlbum zote za justin kalikawe
1mv bukoba
2 dunia inawaka moto
3 korosho,pamoja na nyingine zote ambazo kaimba hata kama za kihaya leta tu nirushie wasap 0787067886
Album zote za justin kalikawe
1mv bukoba
2 dunia inawaka moto
3 korosho,pamoja na nyingine zote ambazo kaimba hata kama za kihaya leta tu nirushie wasap 0787067886
Ni huu?Naomba wimbo waliomba bendi moja inaitwa MVIKO SOUND nyimbo inaitwa UMASIKINI NI WANGU
“Umasikini ni wangu mimi eeeh unanichekacheka nini tenaa mwenyezi mungu ndio alie nijaliaaaah kabla hujafa hujaumbikaaa”humo ndani yupo toto tundu alikuwepo TOT band’kama mazimwi’Thax
Wimbo wa taifa