Huo wa Kwanza unaitwa rafiki..kaimba suma
lee
 
Feel The Vibes. When Music Was Music. [emoji397][emoji443][emoji445][emoji441][emoji449][emoji450][emoji446][emoji448][emoji1623]
Mkuu naomba wimbo wa TOT kaimba Bad Bakule na Abdul Misambano nadhani unaitwa Mambo huyawezi sijui kama nimepatia..
 
Wakuu mko poa??

Ebana kuna wimbo wa kitambo kidogo unaitwa KILIO CHA MAMA muimbaji nimemsahau ila Ni MWANAMKE.

naomba tafadhali


#kidikudi
#idimi
#kioo
#gwankaja

Noma mwanangu.

Boooooooooooom.
 
Kuna jamaa aliwahi kutoa ngoma moja sikumbuki jina lake wala huo wimbo ckumbuki unaitwaje..

Chorus kuna sehem anaimba

Ajali haipingiki asiye na bahati habahatiki/
Ng'ombe wa maskini hazai akizaa huwa ni maksai/

Ija maudhui flan iv ya kuhuzunisha km 'dunia mapito' ya matonya
 
Kuna hili dude la wateule napenda jinsi mchizi mox alivotembea nayo
Enjoy!
Tuangalie vizuri usituvalie mawani, usishangae ukiniona nipo na Jay Moe, Jaffarai, Kelvin na Mchiz Moxx!!! Noma sana hili track ...
 
mwenye wimbo unaitwa mtazamo umeimbwa na GG,( Godfrey Geoffrey) nauomba[emoji120][emoji120]
 
Wakuu nisaidieni wimbo: Voice Mail wa Oten ft Hard Mad
 
"Neema" wa Diamond Sound (Dar es Salaam Kibinda Nkoi) waimbaji wakiwa akina Alain Mulumba Kashama,Richard Mangustino,Elly Chinyama,n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…