Jay z - blueprint (mama loves me)
Nautafuta sana huu
Manzese crew oya oya 100--178 haupo utume tena, tuma pia I am not racist Joyner lucas
mkuu bahati mbaya hiyo sina...
Huu wimbo naufahamu sana. Nadhani upo kwenye library ambayo siko nayo hapa nilipo. Nadhani ni wa Vijana Jazz BandKuna wimbo nautafuta ila bahati mbaya hata bendi iliyo imba siikumbuki, ingawa kuna baadhi ya mistari naikumbuka kama kuna mtu anaweza kuwa na kumbukumbu ya huu wimbo tafadhari, nisaidie
Mstari una imbwa kama ivi
" Maisha sasa ni magumu ina tubidi tuya bane matumiziii"
Maisha sasa ohoo....! Ni magumuu inatubidi tuyabane matumizi mamaaa,
Maisha sasa mi najuta, jamani inatubidi tuyabane matumizii"
Hiyo ni baadhi ya mistari katika nyimbo iyo tafdhari kama kuna mtu ana kumbuka please assist.
Secret Star
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu bahati mbaya hiyo sina...
hapana sijaipataOooh Owkay thanks kiongozi. Vipi ngoma ya Kikosi cha Mizinga Wabishi wa Daressalaam uliipata mkuu...?
Kuna wimbo nautafuta ila bahati mbaya hata bendi iliyo imba siikumbuki, ingawa kuna baadhi ya mistari naikumbuka kama kuna mtu anaweza kuwa na kumbukumbu ya huu wimbo tafadhari, nisaidie
Mstari una imbwa kama ivi
" Maisha sasa ni magumu ina tubidi tuya bane matumiziii"
Maisha sasa ohoo....! Ni magumuu inatubidi tuyabane matumizi mamaaa,
Maisha sasa mi najuta, jamani inatubidi tuyabane matumizii"
Hiyo ni baadhi ya mistari katika nyimbo iyo tafdhari kama kuna mtu ana kumbuka please assist.
Secret Star
Wimbo unaitwa Zainab, ni wa Vijana Jazz Band (Air Pambamoto).
Huu hapa. Enjoy