Naomba wimbo wa o ten "mkuu wa mkoa"
Pia afande sele "kwavyovyote"
Afande sele huyo huyo tena umenitosa tnx.
Prof jey msinitenge.
Pig black nini mnataka.
Na ili nisiwachoshe waungwa nyimbo ya kali p jina imenitoka ila anazungumzia hizi nywele mwisho wa nyimbo anasema pipi ya dara
1-Umasikini wangu umeniponza by q-chief
2-mimi na mpenzi by man x
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba pia nyimbo za InAfrika Band mfano Yala Yala na nyinginezo kama Boko ( sijui ni Kilimanjaro band "njenje"?) .
Natanguliza shukrani zangu kwa wadau wote mnaotusaidia. Maana kuna ngoma sikuwahi kujua kama nitazipata kama Sonel "posta" lakini kwa juhudi zenu nimezipata. Ahsanteni sana.
Mwenye wimbo wa
1. Mac D "cheza na mi" feat. Saidi Comorien, naomba aupandishe.
2. Waswahili wale walioimba Pengo wana wimbo wao kuna mstari " ndugu zako wamekutembelea badala ya kuwapokea unawauliza mmefata nini"
Mkuu asante sana asante sana.
Tafadhali nisaidie na hizo mbili hapo za afande sere.
Kwavyovyote.(ipo kwenye album ya darubini kali.)
Umenitosa dogo dito.(ipo kwenye album ya darubini kali.)
Huu hapa. Enjoy
unaitwa "bila yako wee siwezi kufanya chochote" kiitikio kaimba rama d, naukubali sana mkuu, nfanyie maarifa niupate thanks in advance.Weka hayo mashairi ya huo wimbo hapa wadau watakusaidia.
Ahsante.
Mnisaidie wimbo wa nuruel nadhan yupo na joslin siujui jina najua tu lyrics zakeHuu ni Uzi Maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
View attachment 628965
Kuna mchiz mmoja wa morogoro anaitwa master bross aliimba;
1-Nakupnda uwe wng kifaa
2-Sitaki Tena
Kitambo xnaaa.Mwenye anazo hz please
Sent using Jamii Forums mobile app