KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,235
- 5,854
Naomba wimbo wa o ten "mkuu wa mkoa"
Pia afande sele "kwavyovyote"
Afande sele huyo huyo tena umenitosa tnx.
Prof jey msinitenge.
Pig black nini mnataka.
Na ili nisiwachoshe waungwa nyimbo ya kali p jina imenitoka ila anazungumzia hizi nywele mwisho wa nyimbo anasema pipi ya dara