Wakuu kuna wimbo Leo nimeusaka nimeuona East African tube nimeshindwa kuupakua mana jinsi ya kuupata una maelezo meengi mwenye nao autupie hapa tuupakue wa msanii anaitwa mad brain wmbo unaitwa ahadi za bosi tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Wadau naomba wimbo wa
1. Mtaa wa kwanza = Ally Choki
2. Mama chichi = Suleimani Mbwembwe ft Banza stone
3. Makonda hivi ni kwa nini = Sostenesi ambakisye
4. Nyimbo za mchinga sound mle ndani kuna mtu anaitwa rogart hega.
5. Dodoma = Cosmas Chidumule
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka nliomba wimbo wa Carl thomas she is naona umesahauDaaah, aisee bado ndo kwanza naiskia kiongozi.
Mana nimeona hiyo ID nikasema niulize kwanza.
Sio mchezo bro.
Tenzi nzuri ajaaabu
Maneno ya dhaaahabu
Na sipati tabu
Fumbo na jaaawabu...
Moja kati ya ngoma nnazozipenda sana toka kwa Grace. Nice song.
Ana wimbo mwingine unaitwa Utanifaa na Free Soul.
Safi sana.
Tenzi nzuri ajaaabu
Maneno ya dhaaahabu
Na sipati tabu
Fumbo na jaaawabu...
Moja kati ya ngoma nnazozipenda sana toka kwa Grace. Nice song.
Ana wimbo mwingine unaitwa Utanifaa na Free Soul.
Safi sana.
Mkuu kuna utanifaa original version kama unayo naomba unisaidie please.