Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna wimbo unaitwa "Kifo hicho hakikimbiliki" huwa unapigwa sana na radio maria.

Pia naomba wimbo unaitwa "Sikutaka" umeimbwa na unique Sisters wakiwa peke yao siyo ule waloimba na dudu baya

Pia naomba wimbo Wa Daz Nundaz unaitwa "Kioo" na mwingine unaitwa "Kiama"
 
Kuna wimbo fulan wa Noorah kama anabishana na mwenzake nimeusahau jina nauomba kwa anaekumbuka jina la.wimbo atuwekee
 

Attachments

Wadau naomba wimbo wa
1. Mtaa wa kwanza = Ally Choki
2. Mama chichi = Suleimani Mbwembwe ft Banza stone
3. Makonda hivi ni kwa nini = Sostenesi ambakisye
4. Nyimbo za mchinga sound mle ndani kuna mtu anaitwa rogart hega.
5. Dodoma = Cosmas Chidumule

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Grace matata = wimbo wangu

Sent using Jamii Forums mobile app

Tenzi nzuri ajaaabu
Maneno ya dhaaahabu
Na sipati tabu
Fumbo na jaaawabu...

Moja kati ya ngoma nnazozipenda sana toka kwa Grace. Nice song.

Ana wimbo mwingine unaitwa Utanifaa na Free Soul.

Safi sana.
 

Attachments

Tenzi nzuri ajaaabu
Maneno ya dhaaahabu
Na sipati tabu
Fumbo na jaaawabu...

Moja kati ya ngoma nnazozipenda sana toka kwa Grace. Nice song.

Ana wimbo mwingine unaitwa Utanifaa na Free Soul.

Safi sana.

Mkuu kuna utanifaa original version kama unayo naomba unisaidie please.
 

Daaah umetisha sana aisee. Jumapili yangu itaenda murua sana mkuu.

Ahsante sana mkuu.
 
Back
Top Bottom