Nimekaa sehemu hapa napata lunch nikakumbuka ule wimbo wa lunch ulikuwa unapigwa clouds zamani kila saa 7 mchana kama skosei. Mwenye nao naomba mnisaidie aisee.
 
Shukrani kwa KIOO na wote mnaofanikisha kutupatia Songi ambazo bila ninyi labda tungehangaika sana!!

Kuna Gospo moja nayo nimeitafuta for long siikumbuki jina lakini chorus kuna mamneno "Jehova Niiisi Jeehova shalooom bwana twakuabuduuuuu!!!!!" Jehova Maaakaleshi Jeehova Shaama!

Unaaza na maneno "Baba wa mbinguni".

Mwenye kupata aidia ni upi wakuu, mwimbaji ni wakiume na kuna waitikiaji wanawake(sauti).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu natafuta wimbo wa emmanuel mgogo ft sayuni band nautafuta sijui nakosea jina wanaimba hivi kama si bwana aliyekuwa pamoja nani angetutoa midomoni mwao
 
Nimerudi tena wadau hapa naomba nyimbo zifuatazo
1.BIGGYDOGY POSE AMA KUMWAMBIA ILE HQ
2MASELA FULANI HIVI FT JOAN DAR ES SLAAM BY NIGHT
3.MWASITI SIWEZI KUKUACHIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…