Jamani kuna wimbo mmoja sjui ni wa Usher Raymond unaanza kama hiko kinanda hapo chini kinavyoanza.

Naombeni msaada wenu siujui jina lake wakuu.

Please please please.
 

Attachments

Hakuna nyimbo nayoitafutaga nikaikosa hadi wimbo wa mussa ninao.
nitafutie wimbo wa urafiki unaitwa mwanaisha acha dharau - kamkataa mshona viatu kaenda mkubali kaka 1 mwenye gari kubwa sana mtumba, mie nishautafuta sana bila mafanikio mpaka nataka kwenda radio tbc wanipe huo mziki tu
 
Natafuta wimbo flani wa kibongo ameimba mwanadada simjui jina lakini sauti ni kama ya linah...unaimba hivi..

"Mengi utasikiaaa wakisema usiyaweke moyoni , kukosea inatokeaaa mambo ya ndani usiyaweke hadharani!"

Mwenye jina lake anisaidie..nautafuta sanaaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…