Natafuta instrumental flani ivi ya hip hop wanapendelea sana kuitumia kwenye freestyle battle nying but kama kunazingine unaweza kushusha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko mbili,
1. Dani Msimamo - nadhani nyimbo inaitwa hivyo hivyo.
2.Joh Makini - Sijutii instrumental

Hizi ndio beats 2 kali za bongo wanazotumiaga kwenye freestyles kina Rip Zilla, Nikki Mbishi na wana wengine!
 
Wakuu mwenye nyimbo ya juma jazz ft dully Sykes natamani autupie apa wakuu sana.
 
Habar za saa wakuu.
Naomba msaada
Hii ngoma sijui Ni ya nani
Ilivuma mitandaoni kipindi
Cha hapa nyuma.
Baadhi ya mistari yake Ni hii
"Nakutongoza unakataa
Naenda kwa mganga
Nakuroga unakufa.
Una ringa una mringia nani
Sura mbaya kuliko ya mbuzi"

Wakuu naomba jina lake na msanii aliyeimba tafadhali.

Idimi
Kioo
Gwankaja
 
Mkuu@KIOO kuna wimbo wa charanga aliimba Bushoke siujui jina ila baadhi ya mashairi yake yanasema:
"Sinyora, sinyora, kweli nakupenda lakini tatizo sijui kihispaniola"
Sina uhakika na Jina kama ni "Sinyora"
Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nautafuta wimbo wa joy makini unaitwa femous
Ule kuna mstari unasema
Mpaka raisi ananijua
Nenda kumuulize mwenyewe
Wasipokutana na mshua
Me ntakutana nae mwenyewe
Tuzo hajawai nigea
Tuzo hajawai nigea
Ambazo nilistahili nipewe
MO11
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…