Nimeipata moja ya kuruka kama ndegehumu zimewekwa mbili
Huo hapo!Mimi natafuta sana kibao cha Elimu ya Mjinga toka kwa Banza Stone.
oh asante sana nimeupata. kuna mwingine ameimba deo kamshirikisha banana zorro sikumbuki jina ila kuna maneno wanaimba "siwezi sema kwanini niliachana na yeye"
Na Mm nazihitaji hizooo nyimbo pleasezipo
......akikupa nitagThanx sana ndugu, hauna 'Simulizi za ufasaha', 'tatizo noti' by gangwe mobb, 'lekambuke' by Caz t?
Jaribu kucheki hii link mp3wifi.com halafu uandike wimbo unaotakaNautafuta sanaa wimbo wa Steve Rnb kaimba na Maunda zorro wimbo unaitwa usinihukumu
Mwanangu huna nidhamu wa dudu baya
Thanx sana ndugu, hauna 'Simulizi za ufasaha', 'tatizo noti' by gangwe mobb, 'lekambuke' by Caz t?
Msanii anaitwa Fred Saganda, ninao ktk maktaba yangu ila kuuweka jf ndo kimbembe siwezagiwimbo unaitwa raphael jina la msanii ndio limenitoka
Mkuu una nyimbo nyingine za kalikawe?Natafuta nyimbo hizi 'Roho ya Korosho' na 'Ningekuwa na Mabawa'. Zote za Marehemu Justin Kalikawe.
Ndo hiyo [emoji120] Asante sana mkuuJames Ingram - Always.
Naomba Mwenye wimbo wa Ya Leo Kali wa Wachuja Nafaka ya kina Juma nature enzi hizoo..nikumbukie kidogo..natanguliza shukrani