Mkuu KIOO gwankaja Idimi binswedi naomba mnisaidie nyimbo ya Whenever na someday zote za black eyed peas na the world's greatest ya R Kerry na ile sijui kaimba shaggy sijui nani ila inaimbwa the dream I can fly so high
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa msaada wako.....naenjoy wimbo hapa.....kunywa bia 2 hapo ntakuja kulipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua utani mkuu....nimeziona japo kwa kuhangaika.cm nyingine zina mbwembwe sana.inaelekea una gallery ya kutosha ya nyimbo mbalimbaliHahahah, tatizo siitumii kabisa pombe mkuu. Thanks.
Oya mkuu kioo Kama ngoma ya wana lunduno waliomuimbia mangwea aliokufa.....inatembea ka hivi
Moment of silence..
Kitambaa cheusi mkonon. Safari imeshafika mwishoni......
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah! We jamaa, nitakutafuta pm
Sent from my iPhone using JamiiForums
Saigon- kibongobongo au kinyamwenga ....
Mwenye huu wmbo aurushe nmeutafta bila mafanikio nikiupata nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Deo Mwanambilimbi ft Banana Zorro - KwaniniKuna wimbo unaimbwa "siwezi sema kwanini niliachana na yeye siwezi sema sababu ya kutengana na yeye" yupo banana zorro
Sent using Jamii Forums mobile app
Kioo pleaseeeKuna nyimbo moja sijui kaimba Nani upo hivi:-
Mtoto harufu mbaya, imetawala mwiliniii
Nipo njiani miaka mingi, naelekea sayarini
Navuka mito na mabonde, ili nifike sayarini
Nafsi yangu inanibana na wingi wa mitihani mamamamaaaa ×2
Ni Safari ndefu, iliyochokuwa miaka mingii.........
Nautafuta saana
Sent using Jamii Forums mobile app