Kuna wimbo flan kama zouk, unaimbwa "Samahani dada jina lako nani, mbona uko hapa unamsubiri nani, alichonijibu dada huyu kwa kweli kinasikitisha sana, ni upweke unaomsumbua" Idimi gwankaja na wengineo wengi tafadhali nimeutafuta sana naomba mwenye,nao
 
Hao Jamaa wanaitwa The Gladiators
 

Attachments

Asanteni kwa nyimbo mnazozi-upload...naomba mwenye wimbo wa BWII...uliimbwa na Chambersquad miaka ya 2000s.
 
Nataka nyimbo ya Juma nature na Stopper inaitwa Jiwe halafu Stopper inaitwa style tatu. Asante
 
Mnabang kutoka Mwenge mpaka posta wakati Fid Q ana bang toka Dar mpaka Ulaya. Maujanja saplayaaaaaaz [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nitaurusha baadae kidogo
Tunabang ya pasu kwa pasu mapacha naiomba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…