Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
umeupata bwana furahi now!Kuna wimbo umeimbwa na kikundi toka zbar unaimba hivi..
"Hivi sasa nasonga mbeleee... maisha yangu bila ya weweeee,...nawaachia yo wenzangu, umaskini mm ndani kwangu.,.
Nitafurahi sana nikiupata
Mkuu natafuta nyimbo bongofleva inayoitwa STAREHE by WASWAHILI
Wakuu mwenye wimbo wa 'Ridandansi'- Wagosi wa Kaya, msaada tafadhali..
ANAIMBA SIO KILA SIKU MAMBO BANG, BANG, SIO KILA SIKU MAMBO WA WA KUNA SIKU MAMBO SHAGALA BAGHALA ILA BINADAMU ANAPENDA RAHA,
MIMI MWENYEWE NAUTAFUTA SANA HUO WIMBO WA AY.
Unayo nyimbo ya wagosi inahusu wasafiri
Tameka , wimbo wa dully sykes
kila ninavyozidi kizisikiliza na nyingine zinanijia maana mwaka nilikua nina kanda (tape) 198 nakumbuka na zote nilikua narecord vipind vya bongo flaver vya Abubakary Sadiq so nina correction naanza kuirudisha kupitia humu..
kuna hizi nyingine.
Jaji Hakim-hivi ndivyo ninavyofanya
Wakina Mike Tee- Masela ( hae hae masela, tupo kamili si masihala, hae hae masela)
Style Gani - jamaa wa kundi la kina joslyn
Zay B ft Jay Mo - Hatari Kitu Gani
Kafa- Kafa nani, usiulize we jua tuu amekufa.
Matomya- Mrembo na Uaminifu
Solid- Baba Jane
Zigzagg crue-jiko limenuna
bantu mcz-tangazo
Asante kakaumeupata bwana furahi now!
Mkuu naomba wa gk na fina mango mamaUna uhakika na hilo jina la huo wimbo?nash kaida ana santuri 4 mpaka sasa na hamna ngoma inayoitwa jina hilo.au labda useme kiitikio kinaimbwaje tujue labda haikujumuishwa katika hizo santuri