Kuna wimbo umeimbwa na kikundi toka zbar unaimba hivi..

"Hivi sasa nasonga mbeleee... maisha yangu bila ya weweeee,...nawaachia yo wenzangu, umaskini mm ndani kwangu.,.

Nitafurahi sana nikiupata
 
Aisee natafuta Nyimbo ya The weekend ft drake ft kanye west ft nas ft ghostface killer ft ....

Mzgo unaitwa ' tell ya friend ni extended remix ya km dak12

Msaada
 
Mkuu mm nahitaji pini hii ya Mr Blue, sijui wimbo unaitwaje
Your browser is not able to display this video.
 
 

Attachments

Una uhakika na hilo jina la huo wimbo?nash kaida ana santuri 4 mpaka sasa na hamna ngoma inayoitwa jina hilo.au labda useme kiitikio kinaimbwaje tujue labda haikujumuishwa katika hizo santuri
Mkuu naomba wa gk na fina mango mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…