Victor Ngowa
Member
- May 12, 2019
- 50
- 32
baba ningeuona ningeshapita nao siku nyingi sana kama unao fanya mpango basi mkuuANAITWA DANNY MSIMAMO FT MKOLONI NA ULISHATUMWA SANA HUKU
Tangazo[emoji1544]Taqwa ft Dully Sykes - Kifo Cha Mpenzi
Bantu Mcs - Tangazo
Lady Luh - Atadata
Sanaa mkuu
1: niacheni nimuoe_john woka ft dully sykes
2: tuko bwaa rmx capital letaz
3: neema rmx John flower ft rogath catapila & banza stone
4: nyimbo za diamond sound zile za mwanzoni kabisa kimalu malu na nyinginezo
Minuo Marquis original
Asali wa moyo (original version) ya Inspector Haroun.
Chindo & G Nako - Rihgt Here
- Bado Muda Kidogo
Wakuu,hongereni sana kwa uzi kama huu,kuna baadhi ya nyimbo nazitafuta zikiemo
1.long distance lover-jay mo ft domokaya
2.mtoto wa raisi-qchief
3.ukibebwa jishkie-crazy buffa ft banana
4.nyimbo zote za war will!
Naomba kuwasilisha.
Mkuu pls
1. Mr EBBO= VIPI HUTUONI
2. HARD MARD= SINA TENA MUDA
Msaada jamani
ShukranUnaitwa ‘wakati ndio huu’ ft ngwea
Mkuu napenda sana bounce alizotengeneza Producer Dunga kama unazo tafadhali nakuomba utuwekee kwenye huu uzi[emoji1545][emoji1545]
Mkuu napenda sana bounce alizotengeneza Producer Dunga kama unazo tafadhali nakuomba utuwekee kwenye huu uzi[emoji1545][emoji1545]