Mkuu KIOO naomba na ule “kilio cha wazazi” wa hawa jamaa Mchinga Sound,sina hakika sana na hilo jina ila unazungumzia kufa kwa wazazi.
 
Mkuu KIOO naomba na ule “kilio cha wazazi” wa hawa jamaa Mchinga Sound,sina hakika sana na hilo jina ila unazungumzia kufa kwa wazazi.

Sasa nimebaki mkiwa eeeeeh
Sasa nimebaki mkiwa wazazi sina eeeh
Rogart Caterpillar eeeeh

Mistari nafkiri inaenda hivyo au nimekosea...?
 
Yaah...hii hii mkuu,dah!Kama ukiipata naomba ipandishe hapa Kaka.
Sasa nimebaki mkiwa eeeeeh
Sasa nimebaki mkiwa wazazi sina eeeh
Rogart Caterpillar eeeeh

Mistari nafkiri inaenda hivyo au nimekosea...?
 
Kioo nifanyie mpango wa nyimbo za fred saganda
Hasa mr shoti.
 
Mimi wakuu naomba nyimbo hizi hapa za marehemu Complex ft Noorah n Suma lee Taifa la Bongo
Complex ft Dataz and Squeezer Nyamaza
 

Attachments

Pia mkuu naomba kama kwenye library yako utakuwa na hii ngoma ya Fm Academia walipigaga live inaitwa kitu kama “Dotoneta/Dotaneta” spelling sijui kama zipo sawa ila naomba kisia kisia tu utajua namaanisha ngoma gani.

Thanks in advance Sir.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…