Nilichobaini hapa ni kwamba kumbe zamani nilisikiliza sana mziki. Hakuna nyimbo nisiyoijua humu,hip hop bongo fleva ndo usiseme. Siku hizi ni takataka tu zinaimbwa
 
Wakuu nautafuta sana wimbo mmoja huwa unapigwa sana Clouds fm kwenye kipindi cha Ala za roho kinachoongozwa na Diva. Wimbo unaimba hivi
'' nitasimama kulinda penzi liwe na amani, maaa forever aah mimi nataka niishi na wewe.. maaa forever aah..''
Simjui aliyeimba wala jina la wimbo, youtube nimepekua hadi nimechoka, msaada waungwana....
 
Natafuta wimbo msimamo wa mwalimu Nyerere ulioimbwa na king kiki akiwa na orchestra safari sound.Nimeutafuta sana bila mafanikio.
 

Huu wimbo nimeutafuta saaaaaaaaaaana. Sijaamini leo tena nimeamua KuGoogle nakutana na huu uzi.

huu wimbo unanikumbusha 2006/7 nipo Tosamaganga Sec nasoma dah. Huyu Jaja Hakeem sijui yupo wapi na ana wimbo mwingine? Aisee huu wimbo nilikua naukubali sana.

Ingawa sahivi hauwezi nishika kama zamani ila kuupata tu Memory tosha.

kuna kipindi hadi nilihisi alioimba alikua msanii wa Iringa so hakuna watu wengi wanamjua ila dah mzee shukrani sana
 
Natafuta wimbo wa 50 Cent siujui jina ila style ya wimbo ni tantwist, vilevile Nautafuta wimbo wa Godzilla nae Stle aliyoitumia ni Tan twist hivyo hivyo na zilitoka zimeongozana miaka ya 2011 hivi.
 
Sweet Jesus by Pastor Mthunzi Namba aliimba na Joyous Celebrations.
Ditebogo by Winnie Mashaba
 
kuna nyimbo ya cher inayoitwa believe natafuta raggae cover yake ambayo imeimbwa na mrembo tofauti most djs huicheza nimejaribu kuitafuta lakini napata majibu mengi nimeshindwa kuipata
 
Hivi wimbo unaoitwa "Sikutaka" original version Wa Unique Sisters ndo haupogo kabisa? Daaa so sad
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…