Don Carlos92
Senior Member
- May 8, 2018
- 157
- 188
Hili group halina bot wa kucontrol,madhara ya link kuwa public ni kua lilivamiwa na mabot ya kiarabu,yanapost mambo ya ajabu,porn nk.ndiomana tukaiprovoke link.
Ukizikosa youtube basi nenda kwenye maktaba ukanunue...Wadau wapi nitapata zi nyimbo za zamani za hii bendi.
Nazitafuta sana bila mafanikio.
Pia na za muimbaji Jackson Benty za zamani nazitafuta pia.
YouTube hazipo ndio maana nikaja huku ....
Ukiandika hazipo maana yake nini???.... hana nyimbo hata moja utube??YouTube hazipo ndio maana nikaja huku ....
Maktaba ipi aisee nikazicheki??
Namaanisha hizo nyimbo za zamani ndio hazipo, ila nyimbo zao mpya zipo nyingi tu mdau ..........Ukisema hazipo maana yake nini???.... hana nyimbo hata moja utube??
Sent using Jamii Forums mobile app
Okay nimekusoma... ila nakushauri ungekuja na orodha ya hizo nyimbo unazoziita ni za zamani, manake wengine ukituambia zamani tunafikiria miaka ya 70, huenda kwako zamani ni 2005.Namaanisha hizo nyimbo za zamani ndio hazipo, ila nyimbo zao mpya zipo nyingi tu mdau ..........
Umenisoma sasa au??
Ndugu Habari. Naomba mwenye huu wimbo wa Dini RC unaimba Bwana Yesu akawaambia tena akasema Mimi ndimi Nuru ya Ulimwengu. Tafadhali sana Mwenye nao anisaidie
Niliipata lkn skumbuki niliiweka wapi tu! Lakini kule platform ya apple music ipo ndo niliipatia huko..Sawa mkuu wng.
Vp ile sound effect umeipata???
Hahahahah. Wee jamaa bwana.
Ila umetaka moja tu sitaongeza nyingine kwa sababu ni unreleased songs mkuu.
Hiyo hapo chini aisee. Feel The Vibez Bro.
Km connection ipo ya kupiga watt wazuri why not?[emoji39]The weird thing, Master J wote amewala..