Zima java script kama unatumia chrome! Au change browser kama UC Browser & Opera mini hazina huo ufala..Jaman naomba msaada,nyimbo zinagoma kudownload badala yake zinafungua new page na kuanza kuplay.. Je nifanyaje?
Ahsante kwa taarifa. Hata mimi hii chrome ilikuwa inaniletea huu ujinga.Zima java script kama unatumia chrome! Au change browser kama UC Browser & Opera mini hazina huo ufala..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa. Ila naona. Sababu inaweza kuwa wachangiaji wengi kwenye uzi huu ni walewale na nyimbo walizoomba ni ama wamezipata au hawajazipata na kama hawajazipata ni ni kwa vile wadau hawana. Usisahau mpaka sasa uzi una kurasa 482. Sio mchezo hasa kwa uzi wa entertainment forum.Huu uzi umepoa sana siku hizi
Hi ni bonge la kanda, sijui nipateje nyimbo zakeSamahani mkuu sikufanikiwa kuipata kanda watoto wameipoteza imebaki kasha tu nimesikitika sanaView attachment 1317703
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaNi kweli kabisa. Ila naona. Sababu inaweza kuwa wachangiaji wengi kwenye uzi huu ni walewale na nyimbo walizoomba ni ama wamezipata au hawajazipata na kama hawajazipata ni ni kwa vile wadau hawana. Usisahau mpaka sasa uzi una kurasa 482. Sio mchezo hasa kwa uzi wa entertainment forum.
Msaada jamani huo wimbo anaocheza Huyo jamaa ni jina gani? Maana nautafuta sana
Monique Seka wimbo unaitwa walkman ,,,,,zouk moja Kali sana.Kuna wimbo fulani una maneno kama
Ushanda uudutuuu
Ushanda unjongeeee
Ushanda undutuuùu
Ushanda unjongeè
Sina uhakika na hayo maneno. Mwenye kuujua nitashkuru akiniwekea link
Mkuu ubarikiwe sana. Maana hata hayo maneno nimeyabahatisha tu.
Huu wimbo umenifanya nijisikie kutokwa machozi. Niliutafuta muda mrefu sana. Nakumbuka nilikuwa namuuguza bibi yangu. Kipindi anaumwa alikuwa hapendi kabisa kuongea, ila kuna siku tumekaa huo wimbo ukapigwa TBC radio, nilimsikia akiuimba. Nilifurahi saaana, nikatamani nijue jina la wimbo nikashindwa. Thanks leo nimeupata but she's not here anymore!!!. Thank you so muchndio wenyewe?
Tuko pamoja kwenye ulimwengu wa burudani
Huu hapaNaomba wimbo COME OVER (missing you) wake BUSY SIGNAL
Ule unaimba MISHE MISHE ..MISHE MISHE BEBI[emoji23]
ARUSHA KWETU